Muulize kwanini alijiuzulu kama hana kosa,akikupa jibu urudi hapa utuambie kasemaje.Naomba kuelimishwa waungwana!
pole , umebwia kwenye dimbwi la kutokufahamu, kosa la lowassa ni kufanya kazi kwa bidii na hivyo kumu outshine boss wake, na kama matokeo ya hilo wapambe wakiongozwa na membe na zoka wakamtaarifu rais kuwa lowassa anajiandaa kugombea 2010 kukuangusha, rais akaogopa akamtengenezea lowassa mtego kwa ahadi kemu kemu na mwisho akamtosa. MEMBE NA ZOKA WABISHE HAPA, AU MMM AMBAYE NI SWAHIBA MKUBWA WA MEMBE ABISHE HAPA, ANAJUA A TO Z NA NDO SABABU ANAMPIGIA MEMBE KAMPENI KUPITIA JFKuiba iba mamilioni ya kodi zetu utasafishwa kwa nguvu note. Thubutu kuiba kuku weeeeeee utanyea debe huku aliyekufanya uwe maskini akiendelea kutamba na kusema ni onyo kali kwa wengine.Period.
Mwizi anayeogopwa na Polisi na Takukuru period
pole , umebwia kwenye dimbwi la kutokufahamu, kosa la lowassa ni kufanya kazi kwa bidii na hivyo kumu outshine boss wake, na kama matokeo ya hilo wapambe wakiongozwa na membe na zoka wakamtaarifu rais kuwa lowassa anajiandaa kugombea 2010 kukuangusha, rais akaogopa akamtengenezea lowassa mtego kwa ahadi kemu kemu na mwisho akamtosa. MEMBE NA ZOKA WABISHE HAPA, AU MMM AMBAYE NI SWAHIBA MKUBWA WA MEMBE ABISHE HAPA, ANAJUA A TO Z NA NDO SABABU ANAMPIGIA MEMBE KAMPENI KUPITIA JF
Mwizi anayeogopwa na Polisi na Takukuru period
pole , umebwia kwenye dimbwi la kutokufahamu, kosa la lowassa ni kufanya kazi kwa bidii na hivyo kumu outshine boss wake, na kama matokeo ya hilo wapambe wakiongozwa na membe na zoka wakamtaarifu rais kuwa lowassa anajiandaa kugombea 2010 kukuangusha, rais akaogopa akamtengenezea lowassa mtego kwa ahadi kemu kemu na mwisho akamtosa. MEMBE NA ZOKA WABISHE HAPA, AU MMM AMBAYE NI SWAHIBA MKUBWA WA MEMBE ABISHE HAPA, ANAJUA A TO Z NA NDO SABABU ANAMPIGIA MEMBE KAMPENI KUPITIA JF
Naomba kuelimishwa waungwana!
pole , umebwia kwenye dimbwi la kutokufahamu, kosa la lowassa ni kufanya kazi kwa bidii na hivyo kumu outshine boss wake, na kama matokeo ya hilo wapambe wakiongozwa na membe na zoka wakamtaarifu rais kuwa lowassa anajiandaa kugombea 2010 kukuangusha, rais akaogopa akamtengenezea lowassa mtego kwa ahadi kemu kemu na mwisho akamtosa. MEMBE NA ZOKA WABISHE HAPA, AU MMM AMBAYE NI SWAHIBA MKUBWA WA MEMBE ABISHE HAPA, ANAJUA A TO Z NA NDO SABABU ANAMPIGIA MEMBE KAMPENI KUPITIA JF
Niambie wa riz one ambaye hajawahi kuwa hata hakimu wa Mahakama ya mwanzoTuambie kwanza, utajiri alionao lowassa aliupataje?
Heri ya hao wezi kuliko Vasco da Gamalowasa ni mwizi kama wizi wengne kina mkapa na febrick simaye
haya tukae kimya sasa tusije ambiwa tunachakachua uzi wa watu bureeeeeeeeee