crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,130
- 721
Imepita takribani miezi 7 tangu firm 4 2017 wamalize mitiani na takribani miezi 5 toka kutangazwa kwa matokeo.
Cha kushangaza mpaka sasa wanafunzi hawajui hatima yao huku shule za binafsi zikiwa tayari zimeshafungua shule zao.
Je kuna mtu mwenye habari nini kinaendelea?. Kwa kweli muda wanaosubiri kupangiwa shule umekuwa mrefu mno kiasi kwamba kuna uwezekano mwanafunzi kupoteza mwelekeo baada ya kukaa mtaani kwa muda mrefu. Mwenye taarifa zaidi atujuze .
Cha kushangaza mpaka sasa wanafunzi hawajui hatima yao huku shule za binafsi zikiwa tayari zimeshafungua shule zao.
Je kuna mtu mwenye habari nini kinaendelea?. Kwa kweli muda wanaosubiri kupangiwa shule umekuwa mrefu mno kiasi kwamba kuna uwezekano mwanafunzi kupoteza mwelekeo baada ya kukaa mtaani kwa muda mrefu. Mwenye taarifa zaidi atujuze .