Huyo mlinzi huwa anaonekana ni hatari sana,ameiva haswa,popote alipo mkuu,naye yupo,anaaminika sana.
Kabisa,ushamba mwingikitendo cha kupenda kutembea na walinzi wamevaa camouflage combat kinatosha kuonesha ushamba na ulimbukeni uliokithiri awamu hii,
Na hii ya kubeba mabubduki waziwazi ndio hovyo kabisa.
..Video hapo chini inajieleza.
..Kwa maoni yangu, Raisi anapotembelea eneo lolote haitakiwi ionekane kama ni tukio la UVAMIZI.
Sasa uvamizi umetoka wapi mleta uzi
Jamaa waajabu kweli raisi yupo ndani ya kituo cha polisi logic ni kwamba humo ndani kumejaa askari wenye silaha tayari, sasa hizo mbwembwe zao ni kielelezo cha ushamba uliojaa kichwani mwao.
..Video hapo chini inajieleza.
..Kwa maoni yangu, Raisi anapotembelea eneo lolote haitakiwi ionekane kama ni tukio la UVAMIZI.
Umeona pia pozi lile wakati mzee anatoka nje? Ushamba tu huu...huoni tatizo alivyoelekeza silaha yake kwa raia hapo mlangoni?
..umeona jinsi raia alivyotishika?
Hivi pale mshamba ni boss wao au hao wanaobeba mabunduki nje nje ?kitendo cha kupenda kutembea na walinzi wamevaa camouflage combat kinatosha kuonesha ushamba na ulimbukeni uliokithiri awamu hii,
Na hii ya kubeba mabubduki waziwazi ndio hovyo kabisa.