Hivi ni lazima tu ukiwa Kikosi cha Ulinzi cha Marais (Viongozi) duniani uwe pia ni 'Baunsa' hasa kimuonekano?

Hii ni nje ya mada, wanamlinda dhidi ya nani?!

Kwanini huyo mbaya wake asitafutwe akaondolewa kwenye jamii, ili abaki akiishi salama?!

Au yeye asije huku kwetu akae huko ili awe salama.
 
Back
Top Bottom