Wote wenye mtazamo huo wana urazini haba, si waelewa asilani!!!! Elimu ni ujuzi, maarifa, stadi na mwelekeo ambavyo ni silaha tosha kwa mwanadamu awaye yote kukabiliana na mazingira yake. Kiingereza ni lugha tu. Ni lugha kama ilivyo lugha ya Kinyambo, Kilingara, Kijaluo, Kiha au Kiswahili. Kuwa mzungumzaji mzuri wa lugha hizo si ishara kwamba wewe u mgenzi!maana hapa tanzania km haujui english, jamii inakuona hauna elimu
weeeeeeee, usiseme hivyo. ndio nakubali kwamba ufahamu wa kiingereza is not necessarily a prerequisite for a good job, education blah blah, but kwa haya maisha tunayoishi, good knowledge and comprehension (read mastery) of the English language is an evil necessity that must be adhered to. kudos to our kenyan counterparts for cultivating a rich (and almost brutal) culture of bettering oneself in the aforementioned languageKizungu ni lugha kwani france hawaongei kizungu kwani hawana elimu jivunie, usiwe kama huku kwetu kenya tumepoteza muelekeo kabisa na kizungu
maana hapa tanzania km haujui english, jamii inakuona hauna elimu