So whatHueleweki sijui kama unajielewa.
Nimeiliza hili swali kwa sababu kuna blog ilikuwa inazungumzia watu wasiojichanganya eti wanaringa .people are busy jamaniKama huna shughuli iliyokupeleka USA. Maana yake wewe ni straw away. Kwa mazingira yako tafuta watu wa aina yako wakupe mbinu za kuishi kwa Obama. Lakini kama umeenda kimasomo au kibiashara. Achana na umbeya. Fanya ulichoenda kufanya kwa mda uliopewa. Rudi Tanzania uje ujenge nchi.
Nimeiliza hili swali kwa sababu kuna blog ilikuwa inazungumzia watu wasiojichanganya eti wanaringa .people are busy jamani
Best way nikuwauliza hao wanaosisitiza kujichanganya sio sisi, tumeshajua kwamba uko USA so what?! As a food for thought, na ukifa, ujizike! Nyie ndo ambao maisha yakiwapiga mnaanza kuomba misaada kwa wenzenu... Think twice mtoto.Faida na hasara Zake ni zipi?
Best way nikuwauliza hao wanaosisitiza kujichanganya sio sisi, tumeshajua kwamba uko USA so what?! As a food for thought, na ukifa, ujizike! Nyie ndo ambao maisha yakiwapiga mnaanza kuomba misaada kwa wenzenu... Think twice mtoto.