super thinker
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 370
- 109
Ningependa kutulia na kijiheshimu mpaka kipindi naingia kwenye ndoa ndo nianze "Love making",sioni umuhimu wa kuwa na gf kwa sasa sababu kunakaribisha ufanyaji wa ngono coz sihitaji kiukweli na I know mahusiano mengi yanashikiliwa na NGONO. Sijali nitakayekutana naye mbeleni bt I will personally be happy to keep my self clean and free from sex to that time. Kuhusu kujua - haihitaji kwenda course au kupractice kabisaaaaaa kujua!!
Madhara yoyote kwa hili???????
Kuna Ubayaaaaaaaaaaa???????
Madhara yoyote kwa hili???????
Kuna Ubayaaaaaaaaaaa???????