Hivi ni kweli Wazungu wanakuja kutalii tu au kuna mengine wanayafanya nyuma ya pazia bila wenyeji kufahamu?

the kind

JF-Expert Member
Nov 6, 2019
775
573
Amani na upendo juu yenu,

Nilifanikiwa kuishi mahali fulani ambapo kuna jamii ya Wamasai na Waswahili/ wasiokua wamasai wachache sana, ajabu niliyoiona hapa ni kwamba kuna Wamasai watatu wanaume aged below 28 yrs hawa wameoa Wazungu kutoka Norway na wamefanikiwa kuzaa nao watoto.

Wamasai wawili kati yao wanaishi na wake zao huko Norway na huwa kila mwaka wanakuja Tanzania na wenzi wao kama likizo isipokua huyu mmasai mmoja yeye huwa anaishi hapo hapo kijijini ila huwa mara chache anakwenda Norway kisha anarudi,

Sasa mara nyingi hizi familia zinapokuja Tanzania hawa wazungu huwa wanapenda sana kutembelea sana maeneo ya porini wakiwa peke yao bila wenzi wao na mara nyingi hupendelea sana kutoka mida ya jioni kuanzia mida ya saa 12 wakiwa na begi mgongoni na wameshika chupa ya maji mkononi na hutowaona wamerudi time gani na utawaona tena siku inayofuata

Sawa hakuna mipaka katika mapenzi ila binafsi couple hizi huwa naziona si za kawaida kwakweli

Pia hizi safari za watalii wazungu kuna missions zingine zaidi ya utalii ama ni utalii tu?

Labda kuliwahi kuwa na uzi kama huu hapa jamii forum ila sikufanikiwa kuusoma na mwenye majibu ya maswali yangu hayo ningeomba kufahamu zaidi na samahani pale nilipoteleza
 
Unaonaje wewe ndio ukawa na habari ya uhakika kuhusu maswali yako? Maana mwanzo ushaijua hivyo una nafasi ya kufahamu zaidi kuliko sisi wengine huku ambao hatujui chochote. Sasa amua kuwa mkia kwa hao walami halafu uje utupe mrejesho kamili.
 
Wanakuja na ramani za mali kale zilikofukiwa na pia wanakuwa na mashine za kupima madini chini ya ardhi. Wakati wa usiku huenda kuchimbua wakiwa gizani bila kuonekena.

Mara nyingi huwa ni wajerumani ila huwa hawataki kujulikana hivo. Kwa kuwa jamaii ya kimasai wengi wao hawakupata elimu basi kwa wajanja huwa rahisi sana kufanikiwa.

Wazungu wanao kuja afrika wengi ni waelewa sana tofauti na unavyoweza wadhania, wanakuja kuchukua mali basi. Fuatilia utaona baadae watanunua ardhi nyeti sana tayari ni raia! Nisiwachoshe naamini waelewa wapeshapata wazo.
 
Wanakuja na ramani za mali kale zilikofukiwa na pia wanakuwa na mashine za kupima madini chini ya ardhi. Wakati wa usiku huenda kuchimbua wakiwa gizani bila kuonekena. Mara nyingi huwa ni wajerumani ila huwa hawataki kujulikana hivo. Kwa kuwa jamaii ya kimasai wengi wao hawakupata elimu basi kwa wajanja huwa rahisi sana kufanikiwa. Wazungu wanao kuja afrika wengi ni waelewa sana tofauti na unavyoweza wadhania, wanakuja kuchukua mali basi. Fuatilia utaona baadae watanunua ardhi nyeti sana tayari ni raia! Nisiwachoshe naamini waelewa wapeshapata wazo.
Ahsante
 
Unaonaje wewe ndio ukawa na habari ya uhakika kuhusu maswali yako? Maana mwanzo ushaijua hivyo una nafasi ya kufahamu zaidi kuliko sisi wengine huku ambao hatujui chochote. Sasa amua kuwa mkia kwa hao walami halafu uje utupe mrejesho kamili.
Ukiulizwa sukari ni chungu?,jibu ndio au hapana
 
Jibu litakua ndio au hapana

Jibu litakuwa sijui maana sijawahi kuionja hiyo sukari.

Acha uzembe chief, Nimekujibu hivyo ili kukurudisha kwenye content ya maswali yako. Wazungu uwaone wewe, wewe ujue kwamba ni ndugu wamewaoa, wewe ujue wamezaa watoto wangapi, wewe ujue ratiba zao za kwenda Norway na kurudi Bongo, wewe ujue mida yao wanayokwenda huko porini na mida ya kurudi, wewe ujue vifaa wanavyobeba kwenda huko porini... Halafu uje utuulize sisi hapa wanachokifata huko porini?

Fanya homework yako vizuri, kama umeweza kuyajua yote hayo huwezi shindwa kujua wanachokifata huko porini.. hapa unataka watu wapige ramli tu wakati wewe ndio uko na nafasi kubwa ya kufahamu maana ni watu uko nao kwa karibu.
 
Jibu litakuwa sijui maana sijawahi kuionja hiyo sukari.

Acha uzembe chief, Nimekujibu hivyo ili kukurudisha kwenye content ya maswali yako. Wazungu uwaone wewe, wewe ujue kwamba ni ndugu wamewaoa, wewe ujue wamezaa watoto wangapi, wewe ujue ratiba zao za kwenda Norway na kurudi Bongo, wewe ujue mida yao wanayokwenda huko porini na mida ya kurudi, wewe ujue vifaa wanavyobeba kwenda huko porini... Halafu uje utuulize sisi hapa wanachokifata huko porini?

Fanya homework yako vizuri, kama umeweza kuyajua yote hayo huwezi shindwa kujua wanachokifata huko porini.. hapa unataka watu wapige ramli tu wakati wewe ndio uko na nafasi kubwa ya kufahamu maana ni watu uko nao kwa karibu.
Inawezekana wapo humu jamii forum walioshuhudia zaidi ya hayo niliyoshuhudia mimi na wakawa na majibu ya uhakika na ndio maana nikayasogeza hayo maswali hapa,mi naona ni bora tuendelee kusoma michango ya wengine tutaamhua kitu au wewe ni miongoni mwa wale WAMASAI?
 
Inawezekana wapo humu jamii forum walioshuhudia zaidi ya hayo niliyoshuhudia mimi na wakawa na majibu ya uhakika na ndio maana nikayasogeza hayo maswali hapa,mi naona ni bora tuendelee kusoma michango ya wengine tutaamhua kitu au wewe ni miongoni mwa wale WAMASAI?

Mfano nikiwa mmoja wapo wa hao wamasai ndio kutahalalisha kwamba maswali yako yana mantiki au?

Mimi nimekwambia unaonaje kama wewe ndio ungekuwa mtaalam wa kutueleza kinaga ubaga? Huoni ni fahari kwako kufahamu mambo hayo kwa undani? Yani uko na nafasi ya kufahamu na kujifunza zaidi ila unashindwa kutumia hiyo fursa unaona ni bora uje kuuliza huku mitandaoni? Teh! huku utapata fantasy stories za ku-solidify fikra zako. Ila trust me, ukitaka kuwa na uhakika zaidi na maswali yako..wewe wafatilie hao wazungu huko porini.
 
Wanakuja na ramani za mali kale zilikofukiwa na pia wanakuwa na mashine za kupima madini chini ya ardhi. Wakati wa usiku huenda kuchimbua wakiwa gizani bila kuonekena.

Mara nyingi huwa ni wajerumani ila huwa hawataki kujulikana hivo. Kwa kuwa jamaii ya kimasai wengi wao hawakupata elimu basi kwa wajanja huwa rahisi sana kufanikiwa..
Sio kweli. Hizo ni stori za vijiweni. Nenda kachimbue na wewe!
 
Back
Top Bottom