Mimi sina majibu lakini watanzania wana majibu...kule igunga kuna baadhi ya watanzania...uchaguzi mdogo wa igunga utanipa baadhi ya asilimia fulani kupata majibu...vyama vikubwa vyote vitakuwepo kuhakikisha hakuna kuchakachuliwa na kama utachakachuliwa basi ww haupo makini...nahisi chadema hawatasingizia tena kuchakachuliwa......kama chadema watashnda ntaamini umma wa watz umeichoka ccm...