Kuna dhana imeanza kujengeka miongoni mwa watanzania kwamba haiwezekani kufanikiwa katika maisha bila kufanya usanii (kuiba, kughushi, kula 10% illegally etc), matokeo yake kumekuwa na matukio kemkem ya matumizi mabaya ya madaraka katika nyanja mbali mbali. Je dhana hii ina ukweli wowote?