Hivi ni kweli wananchi hawampendi Rais wetu?

"Mimi ni Dereva wa boda boda, sijaelewa ni kwanini kila mteja ninayempakia kwenye piki piki tukianza kuongelea habari kuhusu rais wetu hua wanachukia sana na kuanza kuponda tuu,kwani amekosea amekosea wapi? sijakutana na mteja hata mmoja anayesifia utawala wake"
Yakikua ni mazungumzo kati yangu na bwana mmoja aliyekua amenipakia kwenye bobaboda kama mteja wake.

Alinishangaa sana mimi kuona ninamsifia sana sana rais wangu kwa kazi anazofanya, aliniona mimi ni mtu wa tofauti tofauti na wengine ingawa yeye pia alikua na mawazo tofauti na yangu.
3f1cc1a09910b9dc6fd3552874973688.jpg
wananchi haswa wa kimara wanampenda sana
 
Na kuwa makini Kwa kazi yako kuwa makini na unao wapakiza na story Wanazopiga ,nchi haielwek utaitwa mchochez bure Bora uendelee kumsifu tu
Hivi kwa nini watanzania habari mnaisoma kama hadithi? Ukisoma na kutafakari utagundua Mahanju si deveva ni abiria, na alikuwa anapewa ushuhuda huo na dereva bodaboda.
 
Kwa maoni yako na uoni wako uko sahihi, lakini ujue mtazamo wako siyo mtazamo wa wengine.

Magufuli yuko madarakani mwaka wa 3 huu, je ni mabadiliko gani ya kiuchumi aliyoleta?
Mkuu unajua kabla ya 2015 hapa Tanzania CCM ilifika hatua ya kuwa na viongozi wachache kumiliki uchumi wa nchi kwa njia za kifisadi, mikataba mibovu, wizi wa mali ya serikali, fedha za miradi kuishia mifukoni mwa wachache, Tanzania kushindwa kudhibiti Maliasili yake na kuacha hawa wawekezaji wakifanya wanachotaka. Tanzania ilikuwa inahitaji kiongozi kama Rais Magufuli, kuhusu suala uchumi kweli hali ya uchumi kwasasa ni ngumu lakini nina uhakika baada ya watanzania kuelimika kulipa kodi uchumi wa Tanzania na kuwepo kwa wafanyabiashara waaminifu uchumi utarudi kuwa imara zaidi. Kupata kiongozi jasiri kama Rais Magufuli hapa Afrika ni nadra sana. Nakupa mfano wa Kenya hao vijana wanaondamana na kumuunga mkono Raila Odinga ni kwasababu ya serikali ya Uhuru Kenyatta kukumbatia ufisadi na watu wachache kumiliki njia kuu za kiuchumi wakati wakenya wengi wakizidi kuwa masikini. Uchumi wa nchi hii utaimarika siku za mbele na watanzania watapata huduma za uhakika.
Sheria mpya za madini imeamsha nchi nyingi za kiafrika katika kutapeliwa na haya makampuni makubwa soma hii attachment jinsi DRC ilivyofuata nyayo za Rais Magufuli

Randgold calls Congo’s new mining code “draconian” | MINING.com
 
atapendwaje? badala ya kugharamia matibabu ya mzalendo wa kweli kipenzi cha watz na raisi ajae waTanganyika Tundu A Lissu eti anagawa mabulungutu kwa msanii Wastara.
kwa ubaguzi huu inaonyesha alivyo na chuki na visasi
Rekebisha point yako mkuu....!!!na chunguza ulichoandika
 
Mkuu unajua kabla ya 2015 hapa Tanzania CCM ilifika hatua ya kuwa na viongozi wachache kumiliki uchumi wa nchi kwa njia za kifisadi, mikataba mibovu, wizi wa mali ya serikali, fedha za miradi kuishia mifukoni mwa wachache, Tanzania kushindwa kudhibiti Maliasili yake na kuacha hawa wawekezaji wakifanya wanachotaka. Tanzania ilikuwa inahitaji kiongozi kama Rais Magufuli, kuhusu suala uchumi kweli hali ya uchumi kwasasa ni ngumu lakini nina uhakika baada ya watanzania kuelimika kulipa kodi uchumi wa Tanzania na kuwepo kwa wafanyabiashara waaminifu uchumi utarudi kuwa imara zaidi. Kupata kiongozi jasiri kama Rais Magufuli hapa Afrika ni nadra sana. Nakupa mfano wa Kenya hao vijana wanaondamana na kumuunga mkono Raila Odinga ni kwasababu ya serikali ya Uhuru Kenyatta kukumbatia ufisadi na watu wachache kumiliki njia kuu za kiuchumi wakati wakenya wengi wakizidi kuwa masikini. Uchumi wa nchi hii utaimarika siku za mbele na watanzania watapata huduma za uhakika.
wacha kelele wewe! mbona 2010 hakumpa nchi Dr. slaa kama hayo mliyajua..
 
"Mimi ni Dereva wa boda boda, sijaelewa ni kwanini kila mteja ninayempakia kwenye piki piki tukianza kuongelea habari kuhusu rais wetu hua wanachukia sana na kuanza kuponda tuu,kwani amekosea amekosea wapi? sijakutana na mteja hata mmoja anayesifia utawala wake"
Yakikua ni mazungumzo kati yangu na bwana mmoja aliyekua amenipakia kwenye bobaboda kama mteja wake.

Alinishangaa sana mimi kuona ninamsifia sana sana rais wangu kwa kazi anazofanya, aliniona mimi ni mtu wa tofauti tofauti na wengine ingawa yeye pia alikua na mawazo tofauti na yangu.
Mimi nampenda. Magu oyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyye
 
Mkuu unajua kabla ya 2015 hapa Tanzania CCM ilifika hatua ya kuwa na viongozi wachache kumiliki uchumi wa nchi kwa njia za kifisadi, mikataba mibovu, wizi wa mali ya serikali, fedha za miradi kuishia mifukoni mwa wachache, Tanzania kushindwa kudhibiti Maliasili yake na kuacha hawa wawekezaji wakifanya wanachotaka. Tanzania ilikuwa inahitaji kiongozi kama Rais Magufuli, kuhusu suala uchumi kweli hali ya uchumi kwasasa ni ngumu lakini nina uhakika baada ya watanzania kuelimika kulipa kodi uchumi wa Tanzania na kuwepo kwa wafanyabiashara waaminifu uchumi utarudi kuwa imara zaidi. Kupata kiongozi jasiri kama Rais Magufuli hapa Afrika ni nadra sana. Nakupa mfano wa Kenya hao vijana wanaondamana na kumuunga mkono Raila Odinga ni kwasababu ya serikali ya Uhuru Kenyatta kukumbatia ufisadi na watu wachache kumiliki njia kuu za kiuchumi wakati wakenya wengi wakizidi kuwa masikini. Uchumi wa nchi hii utaimarika siku za mbele na watanzania watapata huduma za uhakika.
mbona hamtaki bunge lenye nguvu liwe 50/50 chama tawala na opposition ili liweze kuidhibiti serikali. alafu eti unategemea one man show, kweli mkuu "bowie" ?? hebu tuwe wakweli tuweke itikadi pembeni. watuhumiwa wakuu wa ufisadi ni wabunge toka chama chetu wengine ni wenyeviti wa kamati za bunge. Huyo magu unayempamba atafanya nini kama sio maigizo tu. almradi Siku zinasogea
 
Chademaaaaaaaaaaaaaaa mnakazi kwelikweli.bodaboda wenyewe ndio shabiki wakuu want JPM
 
mbona hamtaki bunge lenye nguvu liwe 50/50 chama tawala na opposition ili liweze kuidhibiti serikali. alafu eti unategemea one man show, kweli mkuu "bowie" ?? hebu tuwe wakweli tuweke itikadi pembeni. watuhumiwa wakuu wa ufisadi ni wabunge toka chama chetu wengine ni wenyeviti wa kamati za bunge. Huyo magu unayempamba atafanya nini kama sio maigizo tu. almradi Siku zinasogea
Mkuu kwa wakati huu Rais Magufuli ni kiongozi pekee ndani ya CCM na Upinzani anayeweza kuleta mabadiliko tusubiri uchaguzi Mkuu wa 2020. Mnakumbuka 2015 mlivyokuwa mkiinanga CCM kwa ufisadi
 
ni mtu gani duniani alishawahi pendwa au chukiwa na kila mtu???

manabii walichukiwa...akina Hitler wapo walio wapenda.
 
Back
Top Bottom