Mkuu ya darasani ni ya darasani. Kufanyia kazi uliyojifunza darasani ni kitu kingine. Kwa maana nyingine nadharia na vitendo ni vitu viwili tofauti.Mkuu Dombwela, please acha kutudanganya humu jf, hakuna mhariri yoyote aliyekuambia kuwa kapigiwa simu.
Yaani mhariri apigiwe simu na rais kuipangiwa namna ya kufanya kazi yake na isiwe big headline gazetini kwake, halafu ndio aje akuambie wewe Mkuu Dombwela?!.
Huu utakuwa ni uongo tuu, hakuna kitu kama hiki.
Na kama ni kweli hili limetokea na huyu mhariri hakuripoti, then huyu mhariri amevamia tuu fani ya Habari, atafute shughuli nyingine ya kufanya.
P
Kuna mtangazaji wa TV moja alipigiwa simu akapigwa mkwara marufuku kumuuliza jasusi swali linalohusu Zanzibar.Nalifuatilia
Mwanzoni nilizipata hizi taarifa kwa mhariri mmoja akiniambia kuwa amepigwa mkwara na Magu kwa kupigiwa simu na Magu moja kwa moja akaambiwa amuache afanyeje kazi.
Majuzi tena nimeambiwa hivyo hivyo na mhariri mwingine kuwa naye kapigwa mkwara kuwa amuache afanye kazi!.
Nimejiuli hivi nikweli Magu amefanya hayo kwa kuwaambia waandike na kutoa taarifa zenye lengo la kusupport yale anayofanya tu na si kuchallenge anayofanya?.
Lakini pia nimejiuliza kama ni kweli, hii jeuri ya kuwapangia wamiliki na wahariri wa vyombo binafsi anaitoa wapi?, na kwanini pia hao wamiliki na wahariri wamekubaliana naye?.
Nimejiuliza sana, hivi Magu anaogopa nini? au ni uzalendo tu kwa Taifa lake?.
Haya niliyoambiwa na hawa wahariri yanaweza kuwa ni kweli au wanamsingizia Magu?.
Jamani aliyewahi kulisikia hili atushirikishe labda yawezekana hawa walioniambia nao walikuwa visa vyao kwa Magu!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nalifuatilia
Mimi niliambiwa na mkuu wa chombo fulani ni kweli anafanya hivyo ni muoga sana kwa sababu ni mwizi na mvunja katibaMkuu Dombwela, please acha kutudanganya humu jf, hakuna mhariri yoyote aliyekuambia kuwa kapigiwa simu.
Yaani mhariri apigiwe simu na rais kuipangiwa namna ya kufanya kazi yake na isiwe big headline gazetini kwake, halafu ndio aje akuambie wewe Mkuu Dombwela?!.
Huu utakuwa ni uongo tuu, hakuna kitu kama hiki.
Na kama ni kweli hili limetokea na huyu mhariri hakuripoti, then huyu mhariri amevamia tuu fani ya Habari, atafute shughuli nyingine ya kufanya.
P
Kwenye jibu langu la msingi, hukuona Neno " Kama"?.Mbona ushakanusha ?unafuatilia nini na jibu ushajipa.
Waambie mods warekebishe heading,wamikili-wamilikiMwanzoni nilizipata hizi taarifa kwa mhariri mmoja akiniambia kuwa amepigwa mkwara na Magu kwa kupigiwa simu na Magu moja kwa moja akaambiwa amuache afanyeje kazi.
Majuzi tena nimeambiwa hivyo hivyo na mhariri mwingine kuwa naye kapigwa mkwara kuwa amuache afanye kazi!.
Nimejiuli hivi nikweli Magu amefanya hayo kwa kuwaambia waandike na kutoa taarifa zenye lengo la kusupport yale anayofanya tu na si kuchallenge anayofanya?.
Lakini pia nimejiuliza kama ni kweli, hii jeuri ya kuwapangia wamiliki na wahariri wa vyombo binafsi anaitoa wapi?, na kwanini pia hao wamiliki na wahariri wamekubaliana naye?.
Nimejiuliza sana, hivi Magu anaogopa nini? au ni uzalendo tu kwa Taifa lake?.
Haya niliyoambiwa na hawa wahariri yanaweza kuwa ni kweli au wanamsingizia Magu?.
Jamani aliyewahi kulisikia hili atushirikishe labda yawezekana hawa walioniambia nao walikuwa visa vyao kwa Magu!.
Sent using Jamii Forums mobile app
P. Hoja yako ungeitendea haki, Kama ungeeleza wazi mahojiano yako na Mjengoni, Kama alivyo omba yule Mkaguzi.Mkuu Dombwela, please acha kutudanganya humu jf, hakuna mhariri yoyote aliyekuambia kuwa kapigiwa simu.
Yaani mhariri apigiwe simu na rais kuipangiwa namna ya kufanya kazi yake na isiwe big headline gazetini kwake, halafu ndio aje akuambie wewe Mkuu Dombwela?!.
Huu utakuwa ni uongo tuu, hakuna kitu kama hiki.
Na kama ni kweli hili limetokea na huyu mhariri hakuripoti, then huyu mhariri amevamia tuu fani ya Habari, atafute shughuli nyingine ya kufanya.
P
Mkuu sijapata mlejesho baada ya kufuatilia umekuteje?.Nalifuatilia
Pascal, kwa Magu lolote linawezekana. Fuatilia tafadhali.Nalifuatilia
Tangu day one niliomba ku reserve my comments.P. Hoja yako ungeitendea haki, Kama ungeeleza wazi mahojiano yako na Mjengoni, Kama alivyo omba yule Mkaguzi.
Ukituhumu mhariri jituhumu na wewe, mana naamini wewe ni mwandishi tena wa kujitegemea, siipati picha jinsi headline yako ingesomekaje!.
Yaani mhariri apigiwe simu na rais kuipangiwa namna ya kufanya kazi yake na isiwe big headline gazetini kwake, halafu ndio aje akuambie wewe Mkuu Dombwela?!.
Amebaki askofu bagonza tu, viongozi wote wa dini kwish habari yaoHali n tete sana makanisani full kumsifia jiwe.kama kuna vitu amefanya waache tuone siyo kutulazimisha kuamini
Sent using Jamii Forums mobile app