Alfan issa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,230
- 852
AamQUOTE="Pascal Mayalla, post: 31035130, member: 17813"]
Mkuu Dombwela, please acha kutudanganya humu jf, hakuna mhariri yoyote aliyekuambia kuwa kapigiwa simu.
Yaani mhariri apigiwe simu na rais kuipangiwa namna ya kufanya kazi yake na isiwe big headline gazetini kwake, halafu ndio aje akuambie wewe Mkuu Dombwela?!.
Huu utakuwa ni uongo tuu, hakuna kitu kama hiki.
Na kama ni kweli hili limetokea na huyu mhariri hakuripoti, then huyu mhariri amevamia tuu fani ya Habari, atafute shughuli nyingine ya kufanya.
P
[/QUOTE]
Aambiwe yeye kwann kawa nan kwenye nchi hii, watii sheria bila shuruti wasipotii watashurutishwa
Mkuu Dombwela, please acha kutudanganya humu jf, hakuna mhariri yoyote aliyekuambia kuwa kapigiwa simu.
Yaani mhariri apigiwe simu na rais kuipangiwa namna ya kufanya kazi yake na isiwe big headline gazetini kwake, halafu ndio aje akuambie wewe Mkuu Dombwela?!.
Huu utakuwa ni uongo tuu, hakuna kitu kama hiki.
Na kama ni kweli hili limetokea na huyu mhariri hakuripoti, then huyu mhariri amevamia tuu fani ya Habari, atafute shughuli nyingine ya kufanya.
P
[/QUOTE]
Aambiwe yeye kwann kawa nan kwenye nchi hii, watii sheria bila shuruti wasipotii watashurutishwa