DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,212
- 4,517
Wakuu salaam!
Naomba kuelimishwa. Kwanini tunaviita vita vilivyopiganwa huko nyuma vya dunia wakati moja kwa moja vilikuwa kati ya mataifa makubwa? Afrika au mataifa ya kiafrika iligombana na mataifa gani zaidi ya wanaume kuandikishwa kwenda kupigana upande wa Ujerumani au Uingereza na mataifa mengine ya huko Ulaya?
Kwanini viitwe vita vya dunia? Yaani wazungu ndo dunia peke au?
Naomba kuelimishwa.
Uzi tayari.
Naomba kuelimishwa. Kwanini tunaviita vita vilivyopiganwa huko nyuma vya dunia wakati moja kwa moja vilikuwa kati ya mataifa makubwa? Afrika au mataifa ya kiafrika iligombana na mataifa gani zaidi ya wanaume kuandikishwa kwenda kupigana upande wa Ujerumani au Uingereza na mataifa mengine ya huko Ulaya?
Kwanini viitwe vita vya dunia? Yaani wazungu ndo dunia peke au?
Naomba kuelimishwa.
Uzi tayari.