Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,746
Nasikiaga sana hii, kwamba inaweza ukamtongoza mwanamke akakataa, mimi siamini kabisa, kwanza anaanzaje kukataa?
Au labda kwakua mimi haijawahi kunitokea ndio maana siamini. (inawezekana muonekano unanibeba)
Wakuu hili jambo lipo kweli? Kama wapo wanaume ambao mmewahi kutongoza mwanamke akakataa toeni ushuhuda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au labda kwakua mimi haijawahi kunitokea ndio maana siamini. (inawezekana muonekano unanibeba)
Wakuu hili jambo lipo kweli? Kama wapo wanaume ambao mmewahi kutongoza mwanamke akakataa toeni ushuhuda.
Sent using Jamii Forums mobile app