Ruyama
JF-Expert Member
- Sep 6, 2019
- 367
- 561
Nikirejea maana ya POVERTY-lack of afford the basic needs such as clothes, food and shelter.
Leo hii mishahara haijaongezwa,jee itawezekana mtumishi kununua nguo mpya yeye na watoto na mke?jee mili mitatu inaliwa kikamilifu,jee ataweza kulipa kodi kwa wakati?
Sio vizuri kusema umasikini umepungua ili hali maisha ni magumu vitu bei juu
Leo hii mishahara haijaongezwa,jee itawezekana mtumishi kununua nguo mpya yeye na watoto na mke?jee mili mitatu inaliwa kikamilifu,jee ataweza kulipa kodi kwa wakati?
Sio vizuri kusema umasikini umepungua ili hali maisha ni magumu vitu bei juu