habari zinasema kutokana na tatizo sugu la mgawo wa Umeme ukuaji wa uchumi umepungua toka 7.2 hadi 6. uchumi haukui kwa sasa ila unashukaMi siamini if this is true, nahisi hizi data zinapikwa..what are your comments guys?
Mi siamini if this is true, nahisi hizi data zinapikwa..what are your comments guys?
Ulizeni wazee wenu kama waliweza hata kuyaongea hayo miaka 25 iliyopita, ndio mtajua kama uchumi unakua au unashuka.
Utalinganishaje miaka 25 iliyopita na sasa? Hata hao walio kuwepo miaka 25 iliyo pita walikuwa wana nafuu kuliko walioishi miaka 25, 50, 100 kabla yao.
Acha upumbavu kamuulize unayeye mvulia nguo zako usilete ujinga hapaUlizeni wazee wenu kama waliweza hata kuyaongea hayo miaka 25 iliyopita, ndio mtajua kama uchumi unakua au unashuka.