mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,513
- 10,404
Jamani kila mara tunashauriwa kusamehe pale tunapokosewa na wenzi wetu. Tena tunaambiwa usamehe halafu usahau kabisa, then mnafungua ukurasa mpya na maisha yanaendelea!
Swali langu ni hivi, hiki tunachoshauriwa au kuaminishwa (kusamehe na kusahau) kinatekelezeka? I mean, is it realistic or we just pretend?
Swali langu ni hivi, hiki tunachoshauriwa au kuaminishwa (kusamehe na kusahau) kinatekelezeka? I mean, is it realistic or we just pretend?