Hivi ni Kweli Tulihitaji Katiba Mpya au ilikuwa ni katika Njia tu za Kumsumbua Kikwete?

Huu uzi ni jiwe, umegonga penyewe kabisa! ni unafiki wa hali ya juu unaoendelea Tanzania! ni as if hawaki Raisi awe ni wa imani ile nyingine! nakubaliana na wewe haya mambo ya kuvunja nyumba za wananchi,teuzi za udini, kupiga marufuku bunge live, kasheshe ya sukar, kauli za ubabe mara ooh siwezi kumpa chakula mtoto wa mke wangu wakatu wakwangu ana njaa, mara atakayeleta fyokofyoko, na wao waishi kama mashetani etc nchi ingekuwa imechemka kwa maandamano, na matamko ya hatari, kutoka kila kona
Hivi Kijo bisimba na Analelia Nkya wapo?
 
huu upumbavu nilivyosoma kichwa cha mada nikajua nakuja kuchangia mada nzito kumbe ni upumbavu upumbavu wa udini unaoendelea kichwani mwa baadhi wa watz wapumbavu na vilaza
 
Hieleweki
Kwa ukimya huu hivi ni kweli tulihitaji katiba mpya? Kumekuwa na kawaida katika nchi hii Raisi akiwa ni wa Dini ..... lazima asumbuliwe sana na media, watu wa haki za binadamu, wanaharakati, wanasiasa na wale viongozi wa Dini ya.... Kwa matamko, maandamano na vurugu! Naamini vurugu ya kiuchumi iliopo sasa na kauli za kibabe zinazoendelea nchini ingekuwa ni kwenye awamu ya nne nchi hii ingekuwa hapatoshi!!! Sawa na hili la katiba mpya. Mie niliamini tangu mwanzo nia ilikuwa ni kumsumbua tu Raisi na akija raisi ya imani ile hakuna atayeuliza! Mtakubaliana nami kwa sasa si mwanasiasa, kiongozi wa dini, wala mwanaharakati anayeliongelea, watu wote kimya kwa kuwa kwa sasa Raisi aliyepo ni wa ile imani ile ambayo hatakiwi asumbuliwe!
mkuu mbona hilo linafahamika?! hawa jamaa ni waajabu sana na niwabaguzi afadhali ya yule donald trump wa kule kwa mjomba obama! utafikiri sio wale waliokuwa wakihubiri katiba mpya kila kukicha. jiulize wako wapi wale wanafiki akina ajuza KIJO BISIMBA/BINYAU NA YULE KIKONGWE mwenzake ANANILIA mbege NKYA! binafsi sijapata jibu la swali hili; hivi huko madhabahuni kwao wanakoenda kila week huwa wanaenda kufundishwa kudhulumu?! hili swali langu kusema ukweli sijapata jibu! hii ni dhulma ya waziwazi kabisa!
 
huu upumbavu nilivyosoma kichwa cha mada nikajua nakuja kuchangia mada nzito kumbe ni upumbavu upumbavu wa udini unaoendelea kichwani mwa baadhi wa watz wapumbavu na ******

Unapokosa kufikiria critically au kuhoji huo ndio tunaita upumbavu,bila shaka ni sifa uliyoonyesha.Hakuna askofu,padri au mchungajia anayeongelea au kukosoa serikali tena na huo ndio unafiki dhahiri wanaouonyesha,dhambi yao na chuki za kidini ndizo zilizowafanya waingie kwenye masuala ya kisiasa na wengine kupokea fedha za wizi/ufisadi na kukumbatia mafisadi na hilo mungu alilionyesha hata JK hajaondoka.Wako wapi kina askofu Kilaini,Pengo na wengineneo wakosoe madudu na ukurupukaji wa huyu sasa? mbona hawaongelei teuzi za kikabila,kidini na kikanda zinazofanywa? Gawjima bado anamuandama JK kisa yeye Gwajima msukuma na yuko bize kumuombea msukuma mwenzie.
 
Yale Mahubiri ya kutukana Rais kila kwenye Ibada na Mikusanyiko kwa kisingizio cha shida za Wananchi yameyeyuka ghafla. Hili saga la Sukari lingekuwa enzi za Jakaya tungeona Viongozi wa Dini wazalendo wakiporomosha Kashfa na kejeli kwa Kikwete.
Walihama CCM kwa muda kwa kuwa Rais alikuwa 'dhaifu' sasa wamerejea Chamani Karibuni sana Viongozi wa Dini, na Uzuri wa Mkwere yule alishawasoma wakawa hawamsumbui tena alijua Msingi wa Uzalendo na uchungu wa Viongozi wale kwa Wananchi ulitokana na 'udhaifu' wa Rais. Sasa hivi hakuna Matamko wala kashfa kwa Mkuu wa nchi kwa kuwa usimamizi wa nchi ni Mzuri na Rais anaelekea kutatua shida zetu cha msingi ni kumuunga Mkono Rais
mkuu sidhani kama watakuelewa hao jamaa lakini. wanamacho/masikio lakini hawaoni/sikii kwayo. hiyo ni principle.
 
Naweza kuwaita ninyi wapuuzi tena wapuuzi kwelkweli. Mnayoyaongea hayana critics na hata chembe ya hoja kusupport mnachokisema. Na hata hilo mnalotaka kuliibua hamjui madhara yake. Laiti mngelikua meonja sumu ya udini, msingebinua midomo yenu kuongelea suala la dini kwenye public forum kama hii. Jaribuni kufiri namna ya kutatua matatizo yenu kwenye nyanja zote hasa maendeleo na si kuanza kuzusha mijadala yenye impact kubwa na sensitive kama dini. Watanzania tujifunze jaman!
wewe ni miongoni mwa walewale madhulumati. kipindi mkimtukana ''mtangulia'' kuwa mdini tena mkisaidiana na viongozi wenu hamkuliona hili tena kwa sababu za kumsingizia. ila kwa sababu aliyepo madarakani ni wa kwetu ndo mnaji''fanya'' wenyewe kunyanyua hayo mabakuli yenu. sasa bila hata aibu unapinga hata hili la katiba lililowazi kabisa kuwa mmelipotezea kabisa. hujiulizi kama mfano hili la sukari kupamba kwa sababu tu ya kukurupuka tu bila kufanya utafiti lingetokea hapo kabla mngeharisha humu uharo wa kila aina, lakini sasa hivi pamoja na kuuziwa sukari mpaka 4000 mko kimya, kisa aliyepo madarakani wetu. ungekuwa na busara ungejipitia tu. usifikiri hatuoni. kusema ukweli nachelea kukutukana mbwa wewe kwa sababu ya sheria tu za jukwaa hili.
 
SOTE tunapaswa kuamini tatizo la sukari limetokana na 'wafanyabiashara wasio waaminifu kuficha sukari.' Ingekuwa wakati wa Jakaya lingekuwa limetokana na udhaifu wa Serikali kukurupuka na kuzuia sukari kutoka nje bila ya kufanya tathmini ya Mahitaji na upatikanaji wa sukari.Kuongoza Nchi ukiwa Rais 'Dhaifu' ni kazi ngumu sana
Siasa zetu ni nzuri sana kwa kuwa huhitaji Degree ya Political science kuwajua Wanafiki
mkuu hawa jamaa kwa kweli ni wanafiki sijapata ona kwenye maisha yangu. kwa kweli M. Mungu awaongoze kuwaonyesha haki na ubaya wa dhulma.
 
Sasa hivi kuna juhudi kubwa sana kujaribu kuonyesha kuwa awamu iliyopita haina mazuri! ni dhambi kusema mazuri ya JK na awamu yake! ama kweli nchi ya kinafiki itabaki kuwa ya kinafiki
mkuu hayo tunayashuhudia kila kona ya nchi. hata lile daraja la kigamboni lililopewa jina la muasisi wa taifa hili anayesifiwa ni aliyekuwa waziri wa ujenzi tu kuwa amefanya kazi nzuri japo amekuta limekamilika. afadhali mwenye aliona hata umhimu wa yule aliyeidhinisha fedha za kujengea lila daraja na kumuita kuja japo kutoa salamu. lakini wapanga list walimuepuka kabisa. ONLY IN TANZANIA.
 
Pengine hatokuja atokee JK mwingine kwa ubora, pamoja na figisu zote zile Mzee aliendelea kutabasamu... Sipatii picha Dr. Slaa angekuwa amefikisha 40% kama aliyopata Mamvi TZ isingetawalika. Ila kwa kuwa 2015 walikuwa WAO peke yao hata matokeo yangekuwa 51-49 kusingekuwa na shida:::::::: wanafiki sana watu hawa
mkuu 2015 hata yale matamko ya viongozi wetu wa imani hayakuwepo tena kwa sababu ilikuwa ''sisi kwa sisi'' sipati picha kwa kura alizopata mpinzani wa karibu kama ingekuwa ndo ule wa 2010. hata mahubiri ya kwenye ibada ingekuwa ndo kila kitu achilia mbali matamko.
 
Kuna Radio ziliwahi fungiwa kwa mijadala ya aina hii, haya tuendelee.
salary slip unabisha kuwa siku hizi hata yale matamko ya viongozi wetu yamepita na pengine baadhi yenu mmeyasahau? ni nini kilichowasibu watamkaji? au rais aliyepo madarakani anafanya kila kitu efficiently 100%. e.g sukari. kama ndivyo mbona nyie kila siku mpo humu kulalamika kuwa kuna udikteta? au mnatania tu? tuambieni na sisi tujue kama myafanyayo ni maigizo.
 
Wewe ni mdini na unasambaza udini.Hivi waliosema JK alikuwa ni chaguo la Mungu walikuwa wa dini gani?Mbona hili hamuhoji?
salary acha unafiki. sema kama kuna hata moja katika haya tuna msingizia mtu. nimekuuliza mfano mmoja tu, yale matamko siku hizi yameishia wapi? au rais aliyopo madarakani anafanya kazi kwa ubora wa 100% acha kuendeleza unafiki.
 
Nakubaliana na heading "je tulihitaji katiba mpya? " maana ni kweli ukimya umetawala kama hakuna tena haja ya Katiba (japo maelezo ya mtoa uzi na comments zimeuhamisha uzi toka kwenye heading ya msingi).
Ninachokiona wapinzani walitegemea mabadiliko ya Katiba ikiwemo tume huru ya uchaguzi isaidie kuwalinda kwenye uchaguzi mkuu na ndio hasa chanzo cha kuungana na kuunda ukawa. Sasa uchaguzi umeisha hawana tena morali ya kudai katiba.
mkuu labda kama kumbukumbu zako hazipo vizuri. lakini kuelekea ukingoni mwa utawala uliopita hatukuzungumzia kabisa suala hata la tume huru ya uchaguzi, pengine labda ni kwa sababu aliyekuwa anafuata ni wetu!
 
Si kwa unafiki huu aisee! Hatari sana, hata vyama vya upinzani huwa vinapata nguvu kama raisi ni wa dini.... , akishaondoka wapinzani na CCM wote wanakuwa kitu kimoja kuna watu kibao sasa hivi wamerudi CCM kimyakimya na kumsapoti raisi Joni, akishamaliza muda wake akaja ile imani nyingine wanakuwa wapinzani tena, so upinzani unakuwa na maandamano yanaanza tena
mkuu kuna wengine wapo hata humuhumu jukwaani kama yule ajiitae mzee mwanakijiji na mtizamo. wako wengi sana waliogeuka kwa wazi na kisiri kwa sababu hiyo. kwa kweli M. Mungu tu atuongoze.
 
Haya ni matatizo yenu - kwani mkisali Jumapili Mungu hasikilizi maombi yenu. Ua mnadhani kuwa Mungu analala Jumapili? Mbona wengine wanasali Ijumaa - tena siku ya kazi! lakini wapo Kimya!
acha kuchanganya mambo hapa. wasabato kwa imani yao, hawatakiwi kufanya kazi siku ya 7 (jumamosi), tofauti na waislam ambao wanaruhusiwa mara baada ya kuswali waende wakatafute rizki.
waache watu waabudu kwa uhuru na kwa mujibu wa imani yao.
 
Mleta hoja umeanza vizuri tatizo umechanganya mada .

Tatizo la kutopata katiba mpya lipo Ccm na kwa sababu jambo hilo lina faida kwao kama chama dola. Pili waTz wameelekeza matamanio yao kwa utashi wa viongozi waliopo madarakani badala ya lile jambo lingewekwa kisheria.
 
Nashangaa huyu mleta mada anavyodai JK alilazimishwa kuleta suala la katiba mpya? Suala la katiba mpya alilileta JK mwenyewe na wala siyo CCM. Alikuwa anatafuta legacy. Ushauri alipewa na nani? Hebu tuache kupindisha mambo ili tuweze kudai kitu ambacho hakipo.
Udhaifu wa JK ulikuwepo na ilitokana na uwezo wake mdogo kama binadamu na siyo kwa sababu ya dini yake. Vivyo hivyo tusitake kukuza uwezo wake au kuficha udhaifu wake kwa sababu ni wa dini moja nasi.
Hakuna cha maana katika uzi huu bali wapambe wa JK kuhangaika na legacy yake.
umeelewa mada lakini?
Suala la katiba ilikuwa ajenda kuu ya akina padre slaa ambaye alifikia mpaka kuahidi kuwapatia wananchi katiba mpya ndani ya siku 100 kama atachaguliwa.
kutokana na Kikwete kuwa msikivu baada ya kuona hili ni hitajio la wengi akawapa walichotaka. kumbuka wakati anawapa alikuwa tayari ni rais na hakuna na cha kupoteza. mliendelea kurap huku mkisisitiza pia tume huru ya uchaguzi. lakini baada ya kuona kuwa safari hii ni wakwetu hata suala la tume huru likapotea kabisa kwenye vinywa vyenu. vipi yale matamko ya viongozi wetu yasiyoisha kipindi kile mbona hatuyasikii sasa hivi? au rais aliyepo madarakani anafanya kazi kwa ufanisi wa 100%? KAMA SIKOSEI PIA UCHAGUZI WA 2015 HATUKUUONA ULE WARAKA KAMA WA 2010 WA KUWAELEKEZA WAUMINI WETU KUCHANGUA VIONGOZI WACHA MUNGU. sijui haya yote huyakumbuki?
anyway, tunajua hii mada ni ya uchungu kwako. hata hivyo vumilia tu maana ukweli ndivyo ulivyo. hauchagui.
 
Back
Top Bottom