Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,968
- 14,714
Rais hawezi kuuvunja huu mkataba na kuwafurusha nchini hawa wezi?
Baada ya Hukumu hii si tu tatalipa Bilioni 626, Lakini bado tunamlipa Seth kila Mwezi Dola Milioni 4 (Sawa na zaidi ya Bilioni 8.7 za Kitanzania) Kwa umeme wa mtambo uliomilikishwa Kifisadi Kwa Kampuni ya Kitapeli.
Baada ya Hukumu hii si tu tatalipa Bilioni 626, Lakini bado tunamlipa Seth kila Mwezi Dola Milioni 4 (Sawa na zaidi ya Bilioni 8.7 za Kitanzania) Kwa umeme wa mtambo uliomilikishwa Kifisadi Kwa Kampuni ya Kitapeli.