Elections 2010 Hivi ni kweli Slaa alipata kura hizi Karatu?

Kiresua

JF-Expert Member
May 13, 2009
1,184
259
nimekuwa nikifuatilia hesabu za kura katika jimbo la Karatu, Kwenye website ya Tume ya Uchaguzi hakuna jimbo la Karatu lakini Kwenye Mwananchi Dr. Slaa alipata kura 147 (0.2%) Jk alipata kura 24,382 (98.1%). Matokeo ya Ubunge Dr. Lorry ccm alipata kura 26,281, na Israeli Chadema alipata kura 41,132. Ukiangalia matokeo ya Ubunge na Uraisi utaona kuwa tofauti kubwa ya wapigakura,
Je haya ni makosa yangu kuangalia, makosa ya gezeti kuachapisha, au ni makosa ya TUME, au ni matokeo halisi

wanajamii nisaidieni kama kuna mwenye data za uhakika
 
nimekuwa nikifuatilia hesabu za kura katika jimbo la Karatu, Kwenye website ya Tume ya Uchaguzi hakuna jimbo la Karatu lakini Kwenye Mwananchi Dr. Slaa alipata kura 147 (0.2%) Jk alipata kura 24,382 (98.1%). Matokeo ya Ubunge Dr. Lorry ccm alipata kura 26,281, na Israeli Chadema alipata kura 41,132. Ukiangalia matokeo ya Ubunge na Uraisi utaona kuwa tofauti kubwa ya wapigakura,
Je haya ni makosa yangu kuangalia, makosa ya gezeti kuachapisha, au ni makosa ya TUME, au ni matokeo halisi

wanajamii nisaidieni kama kuna mwenye data za uhakika

Malaria Sugu
 
Kuna Mtu ameandika Malaria Sugu hapa, I dont knw what does this mean? please give me breack! Niliona habari juu ya kupuuza Malaria Sugu no Idea what does this mean and who ar you talking about.
 
nimekuwa nikifuatilia hesabu za kura katika jimbo la Karatu, Kwenye website ya Tume ya Uchaguzi hakuna jimbo la Karatu lakini Kwenye Mwananchi Dr. Slaa alipata kura 147 (0.2%) Jk alipata kura 24,382 (98.1%). Matokeo ya Ubunge Dr. Lorry ccm alipata kura 26,281, na Israeli Chadema alipata kura 41,132. Ukiangalia matokeo ya Ubunge na Uraisi utaona kuwa tofauti kubwa ya wapigakura,
Je haya ni makosa yangu kuangalia, makosa ya gezeti kuachapisha, au ni makosa ya TUME, au ni matokeo halisi

wanajamii nisaidieni kama kuna mwenye data za uhakika

i think bila hata kutumia logic ni vigumu Dr Slaa kupata less than 50% Karatu... ni sawa na JK kupata 40 ukwereni
 
Is not clarified yet? what happened? wanachadema vipi? this was honesty question!
 
CCM wanalazimisha watanzania kutwaa nchi kwa nguvu ila ole wao siku zinakuja ule mtindo wa kuchezea wazanzibar kuwanyang'anya kura CUF na kulazimisha CCM kushinda hata kama imeshindwa hautafanya kazi Tanzania Bara
 
Ng'wanangwa siku zinakuja hapa si uchonganishi ni ukweli kwanza CCM walikuja na hila zao kuwa CHADEMA ni chama cha kikabila lakini kimewaprove wrong kwa kutwaa ubunge kila kona ya nchi isingekuwa uchakachuaji kingepata majimbo si chini ya 80 yakiwamo majimbo ya Kigoma mjini, Sumbawanga, Shinyanga mjini, Kishapu, Buchosa, Karagwe, Ulanga Magharibi, Segerea, Kigamboni, Mbeya vijijini, Mpanda, Tarime, Geita, Busanda, njombe, chunya na kwingineko kwingi

Halafu pia CCM wajiulize kuwa iwapo wasukuma ni kabila kubwa ambao huwa ni wapole na hawana makuu lakini safari hii Sukumaland imekabidhiwa upinzani katika majimbo ya Nyamagana, Ilelema, Maswa Magharibi, Maswa Mashariki, Meatu, Bariadi magharibi (UDP) Biharamulo Magharibi na Bukombe ambayo ni ya wasumbwa jamii iliyomegeka toka kwa Wasukuma wao na Wadakama ni kama kusema muingereza (Englishman) na muayalendi (Irishman) na bado CCM wakachakachua majimbo mengine manne ya Sukumaland ambayo yalikuwa yamenyakuliwa na upinzani majimbo haya ni pamoja na Shinyanga Mjini, Geita, Kishapu na Busanda basi wajue sasa nchi imeamka kama kabila lenye idadi nyingi ya watu ambalo halina makuu limeona CCM haifai hakuna atakayesimamisha hili wimbi la mageuzi CCM watake wasitake siku zao zinahesabika

Naomba nieleweke hapa siongelei ukabila ila najadili kwa kina hali halisi ya nchi ya Tanzania
 
Back
Top Bottom