Hebu wadau sikieni hii,Baby naomba unirushie salio la ths 5,000/=halafu hivi niko njiani nakuja kwako ila sitakaa sana,kama dk 5 hivi, naomba uniandalie kuku na chips nakuja na rafiki zangu,halafu nadaiwa 35,000/=nilikopa mpenzi wangu na pleaz sweet naomba elfu 45,000/=ya saluni si unajua leo weekend?i luv you mwahhhhhh.Hapo utakosa presha kweli?