😂 😂 😂 😂 😂
Zimefungwa koteLeo nilikwenda ofisi za NIDA Pwani pale Kibaha. Ili uingie NIDA inabidi kuanzia uhamiaji. Sasa ile nimefika uhamiaji wakaniambia NIDA hawafanyi kazi kisa KORONA. hebu wadau huko mliko NIDA wamefunga ofisi??
Thank you for your sincere reply.Nilishangaa hata hospital hakuna huduma ya macho kisa corona
Sante kalesaOfisi hazifanyi kazi kutokana na janga la Corona, niliona hili tangazo kwenye moja ya halmashauri
Mkuu vp ulipona
Waaache ujinga,wamenipa namba toka feb kitambulisho hawajanipaLeo nilikwenda ofisi za NIDA Pwani pale Kibaha. Ili uingie NIDA inabidi kuanzia uhamiaji. Sasa ile nimefika uhamiaji wakaniambia NIDA hawafanyi kazi kisa KORONA. hebu wadau huko mliko NIDA wamefunga ofisi??
nani kasema??Mbona inasenekana corona haipo?
Kama Wabunge wa CHADEMA walitii amri ya KAMANDA wa MAKAMANDA kususia Bunge la Bajeti, kwa sababu ya korona, na hao watumishi wa NIDA ni binadamu, ati.
Zile mashine zilikuwa zinatumiwa kwenye uboreshaji Wa tume ya kanda ya ziwa ya kuraLeo nilikwenda ofisi za NIDA Pwani pale Kibaha. Ili uingie NIDA inabidi kuanzia uhamiaji.
Sasa ile nimefika uhamiaji wakaniambia NIDA hawafanyi kazi kisa KORONA. hebu wadau huko mliko NIDA wamefunga ofisi??
Kah Ni hospital ya government???Nilishangaa hata hospital hakuna huduma ya macho kisa corona
Subiri Corona iishe... Utapata numberWakuu nilienda kujisajili nida toka mwezi wa 12 mwaka jana mpaka sasa sijapata hzo namba licha ya kuwafata mara kadhaa naambiwa bado, nifanyeje nipate namba hzo??..
Hivi wananchi wakichanga pesa wanaweza kuanzisha NIDA yao? Hii ya serikali naona imeshindwa kazi kabisaWakuu nilienda kujisajili nida toka mwezi wa 12 mwaka jana mpaka sasa sijapata hzo namba licha ya kuwafata mara kadhaa naambiwa bado,nifanyeje nipate namba hzo??..
Huku Moshi mjini watoto wameenda wiki iliyopita wakarudishwa na kuambiwa ofisi wamefunga. Sasa siju Kama wahusika wakuu wanajua?Leo nilikwenda ofisi za NIDA Pwani pale Kibaha. Ili uingie NIDA inabidi kuanzia uhamiaji. Sasa ile nimefika uhamiaji wakaniambia NIDA hawafanyi kazi kisa KORONA. hebu wadau huko mliko NIDA wamefunga ofisi??