masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Hawanunuliki because they are too cheap!!sarakasi na kelele zote unazoziona zikifanywa na ccm kutaka mbowe na Dr slaa wajiuzulu ni kutokana na uwezo na utu walionao dhidi ya watanzania na hivyo kutokuweza kununulika kwa bei yoyote hivyo ccm wameona njia ni kutumia uchaguzi hasa ule wa juu kutaka yeyote tu aongoze lakini sio hao wawili kutokana na uwezo wao wa kutokununulika.
ushauri
chadema uongozi wa juu usibadilike mpaka 2016 kama ni uchaguzi basi ufanyike uhuni kama wa ccm walivowapitisha kinana ,mangula,na kikwete walivyopitishwa