MSALANI nitakwambia jambo hili..View attachment 124188
SABODO ACHA KUWADHALILISHA HAWA WACHAGA, HATA KAMA NI WAPENDA PESA LAKINI HII DHARAU NI TOO MUCH
CC: THE BIG SHOW , FaizaFoxy , ZeMarcopolo CHAMVIGA , Simiyu Yetu
KIONGOZI WA MILA WA WACHAGA VS WANYONGE -ZITTO ,NK
sarakasi na kelele zote unazoziona zikifanywa na ccm kutaka mbowe na Dr slaa wajiuzulu ni kutokana na uwezo na utu walionao dhidi ya watanzania na hivyo kutokuweza kununulika kwa bei yoyote hivyo ccm wameona njia ni kutumia uchaguzi hasa ule wa juu kutaka yeyote tu aongoze lakini sio hao wawili kutokana na uwezo wao wa kutokununulika.
ushauri
chadema uongozi wa juu usibadilike mpaka 2016 kama ni uchaguzi basi ufanyike uhuni kama wa ccm walivowapitisha kinana ,mangula,na kikwete walivyopitishwa
Unamaanisha huyu Slaa aliyesema mpaka apewe pesa ndio atakubali kukiwakilisha chama chake kwenye uchaguzi ambao kilijua kabisa kitashindwa.
You have put your finger on the spot. CCM hivi sasa wanahaha kutokana na uongozi mahiri wa Slaa na Kamanda Mbowe.
Unamaanisha huyu Slaa aliyesema mpaka apewe pesa ndio atakubali kukiwakilisha chama chake kwenye uchaguzi ambao kilijua kabisa kitashindwa.