Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Kuna mjadala unaendelea kwamba Mbeya inanyimwa maendeleo sababu ya Chadema, kwahiyo akipewa Dkt. Tulia, Mbeya itasonga mbele.
Kuna wemgine wanapinga wanasema kama suala ni Chadema mbona Arusha, Moshi, Kawe, Ubungo nk kuna miradi mikubwa tu imejengwa na serikali wakati wabunge wa hapo ni Chadema? Mbeya inakwama wapi?
Awamu hii ukitoa Dar es Salaam, maendeleo yote yameelekezwa Mwanza kwa kiasi kikubwa, Arusha na Dodoma
Aliyekudanganya kuwa Jimbo la Kawe limeendelea na Kupiga Maendeleo makubwa katika Awamu za Mbunge Halima Mdee ni nani Ndugu yangu?