Wakulonga
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 762
- 772
Habari wana JF! Katika soma soma yangu nimepata kuona katika vitabu vya dini kuwa maji matamu na maji ya bahari hayachanganyiki. Pia Kila mara nikielekea Zanzibar kwa boti nifikapo Msasani lazima kuwe na wimbi hata kama bahari iko shwari nikauliza nikaambiwa hapa kuna mkondo wa maji matamu ( baridi) sasa hii kisayansi imekaaje wajuzi tujuzeni jamani.