everybody JF-Expert Member Oct 30, 2010 337 103 Nov 1, 2010 #1 Haya matokeo yamechukua muda mrefu sana...Nasikia Lwakatare kashindwa, ni kweli? Mwenye habari kamili jamani?
Haya matokeo yamechukua muda mrefu sana...Nasikia Lwakatare kashindwa, ni kweli? Mwenye habari kamili jamani?
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,647 Nov 1, 2010 #2 Yea, nilisikia asubuhi kutoka itv kuwa Lwakatare ameshindwa.
Victoire JF-Expert Member Jul 4, 2008 24,133 56,576 Nov 1, 2010 #3 alishindwa kuwatumikia vyema wana bukoba,acha ashindwe
K Kenge (Eng) JF-Expert Member Dec 7, 2006 543 156 Nov 1, 2010 #6 Confirmed: Lwakatare kashindwa matokeo yametolewa STAR TV saa 1.00jioni.
Prodigal Son JF-Expert Member Dec 9, 2009 1,067 697 Nov 1, 2010 #8 everybody said: Haya matokeo yamechukua muda mrefu sana...Nasikia Lwakatare kashindwa, ni kweli? Mwenye habari kamili jamani? Click to expand... Kashindwa kwa tofauti ya kura 4000 kuna taarifa kakubali matokeo
everybody said: Haya matokeo yamechukua muda mrefu sana...Nasikia Lwakatare kashindwa, ni kweli? Mwenye habari kamili jamani? Click to expand... Kashindwa kwa tofauti ya kura 4000 kuna taarifa kakubali matokeo
BabuK JF-Expert Member Jul 30, 2008 1,845 329 Nov 1, 2010 #9 Huwezi kutumikia mabwana wawili....Mali ya kidunia na Mungu..lazima moja litakuponyoka!!!!!... Asema Bwana!!
Huwezi kutumikia mabwana wawili....Mali ya kidunia na Mungu..lazima moja litakuponyoka!!!!!... Asema Bwana!!
meddie JF-Expert Member Oct 21, 2010 434 125 Nov 2, 2010 #10 Ameshindwa jimbo gani na nani wachama gani kashinda??