loosimingori
JF-Expert Member
- Oct 30, 2017
- 920
- 1,144
Kwa muda wa takribani cku 5 zilizopita hadi sasa ninasumbuliwa na maumivu ya jino ila baada ya kukutana na doctor m1 nikaelezwa kuwa 1wapo ya matatizo ya maumivu ya meno ni kwenda chumvini haswa ikiwa mwanamke anayefanyiwa hivyo ni mchafu sehemu husika kiasi kwamba anakuwa na bacteria ambao hubaki kwenye mdomo wa mtendaji na kuanza kutoboa meno.Naomba madentist proffesionals mnisaidie kunielimisha kama kuna ukweli wowote juu ya hili