ogm12000
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 304
- 86
Je ni kweli kwamba whites wanaakili kuliko sisi (blacks).
Kama si kweli kwanini wenyewe ndio wame influence maendeleo ktk kila sector?
WAO
1.Walitutawala.
2. Wako juu kimaendeleo.
3. Ndio wavumbuzi wa kila kitu.
SISI
1. Tuko juu ktk mambo yasiyo hitaji sana matumizi ya akili kama vile riadha, kuruka, bondia, n.k yani physically tupo fit kuwazidi.
2. Ngono.
3. Uvuvi
4.Sisi tulichezea Diamond kwa kudhani haina maana.
Siwezi kuyakumbuka yote. Wao wanadai wametuzidi akili? Je wewe unadhani ni kweli au la?
NB: si mawazo yangu ni baadhi ya mawazo ya maprofessor wa kizungu. unaweza kupata video youtube kwa kuandika heading above kwa kiingereza.
Inauma kweli...Lkn sometimes personally speaking nafikiri kuna kaukweli fulani kutokana na mambo waliyoyafanya na wanayoyafanya..
nitatoa evidence nitakaporudi for the second time...lets discuss
======================================
======================================
Kama si kweli kwanini wenyewe ndio wame influence maendeleo ktk kila sector?
WAO
1.Walitutawala.
2. Wako juu kimaendeleo.
3. Ndio wavumbuzi wa kila kitu.
SISI
1. Tuko juu ktk mambo yasiyo hitaji sana matumizi ya akili kama vile riadha, kuruka, bondia, n.k yani physically tupo fit kuwazidi.
2. Ngono.
3. Uvuvi
4.Sisi tulichezea Diamond kwa kudhani haina maana.
Siwezi kuyakumbuka yote. Wao wanadai wametuzidi akili? Je wewe unadhani ni kweli au la?
NB: si mawazo yangu ni baadhi ya mawazo ya maprofessor wa kizungu. unaweza kupata video youtube kwa kuandika heading above kwa kiingereza.
Inauma kweli...Lkn sometimes personally speaking nafikiri kuna kaukweli fulani kutokana na mambo waliyoyafanya na wanayoyafanya..
nitatoa evidence nitakaporudi for the second time...lets discuss
======================================
======================================
Ndugu zangu nimekutana na msemo huu mitaani kuwa hata mtu asiyesoma ulaya ana uwezo mkubwa kuliko hata profesa wa afrika.
Mzungumzaji anasema eti sababu ni mazingira ndio humshepu mtu na akadai kwa afrika mazingira yaliyojengwa hata wataalamu wanaacha utaalamu na kufanya ujinga lakini akadai kwa ulaya kwa mazingira waliyojijengea wajinga wabadilishwa na mifumo yao na kuelekea kwenye kujua.
Mwanzoni nilitaka kumpiga kibao kwa msemo huu lakini baada ya utangulizi huo nikahisi sijaelewa nikamuambia hebu fafanua tena.
Akaniambia ndugu yangu kwa afrika mifumo iliyotengenezwa sheria hazifanyi kazi, moral value hazifanyi na haya hubeba sana taaluma na kama hivyo vitu havifanyi kazi basi taaluma inakuwa mashakani lakini kule ambako sheria na moral value vinafanya kazi basi hata yule asiye na taaluma analazimika kufuata taaluma zinasemaje.
Nikamuuliza sasa kama mtu hana taaluma unataka kuniambia atafuataje taaluma?Akaniambia hoja ni sheria inasemaje na kama mtu anagundua sheria inachokitaka hakijui basi huwauliza wanaojua nini cha kufanya.
Akaniambia unajua tatizo la afrika wanataka malipo bila kazi nikamuuliza unamaanisha nini?Akanijibu waafrika ukiwaambia ukweli kama huu wanakasirika na wanataka useme tofauti na kile wanachokifanya kwa maana wao wanadhani wasifiwe kwanza ndio wataachana na upuuzii na sio kurekebisha mifumo yao ikawaelekeza kufuata utaalamu na wakafanya vizuri ndio watasifika kwa yale waliyoyafanya.
Nikamuuliza inamaana unadhani waafrika hawafanyi lolote?
Akasema hoja sio hawafanyi lolote bali wanachokifanya kina value gani?
Akasema wakati afrika inapoteza rasilimali kupitia rushwa, na uozo wa serikali zao bado wanaandika papers kwenda kudai wao hawawezi kuendelea bila kupewa misaada.
Akaniambia ni aibu kwa wataalamu wa afrika kuburuzwa na wapumbavu kufuata upumbavu badala ya wataalamu kuwabadilisha wapumbavu kufuata utaalamu.