Hivi ni kweli kwamba White people wana akili kuliko Blacks?

Mfano mzuri angalia ahadi za mgombea wetu, pili angalia majibu prof. Muhongo kuhusu pesa ya escrow, tatu prof.shivuji wakati wa mchakato wa katiba mpya/ au angalia wasomi wetu waliegemea wapi dakika za mwisho wakati bunge la katba linaendelea.
 
Inategema na impact unayoleta kwenye taifa lako..kama layman anajituma na kuleta maendeleo wakati profesa mwafrica kakaa tu bure ofisini hatuoni anachofanya then better a layman no matter where the layman is.
 
ni lazima tutambue kuwa huku kwetu wakati profesa anakuwa useless layman wa kwetu ndio kabisaaa.

ni lazima tujiulize tatizo limeanzia wapi?

hata tusomeshe watu wetu vipi kama hatuwezi kuwa na mifumo inayowataka watu wetu kila mmoja kutumia utaalamu katika maisha.

lakini tumeachia mifumo yetu ikatekwa na mtu akigangania utaalamu anakuwa masikini lakini akifanya akiacha utaalamu na kufanya ujanja anakuwa tajiri. hebu niambie hapo wewe ungechagua lipi?
 
Watanzania/Waafrika acheni kujidhalilisha, hii topic haina ukweli wowote, kwanza mtoa hoja ameshindwa kuainisha kuwa better unaangalia vigezo gani, na pili, hiyo tofauti ya mifumo hajaiweka wazi, ni mifumo ya kiuchumi, kijamii, Kielimu au mifumo gani anayoizungumzia.. Imefika wakati watanzania/waafrika tuache kujidharau, kwanza huyo laymen wa Europe anaishi kwa kutegemea unemployment benefits then unaweza kumfananisha na profesa wa Afrika?, tatu, Mifumo ya elimu katika nchi nyingi za kiafrika inafuata mifumo ya hao hao wakoloni ambao leo mtoa hoja anawasifia. Sikatai kuna mapungufu kadhaa katika Afrika lakini si kwa kiasi cha kulinganisha profesa wa Africa na layman wa Europe, Wake up guys,
 
mzungu akiwa na miaka 17 teyari ashaanza kujitegemea na kaondoka home kitambo but afrika mtu hadi miaka 40 bado yupo home na anategemea wazazi for each and everything
 
mzungu akiwa na miaka 17 teyari ashaanza kujitegemea na kaondoka home kitambo but afrika mtu hadi miaka 40 bado yupo home na anategemea wazazi for each and everything

Mhhhh hii siku hizi imepitwa na wakati maana wazungu nao siku hizi wana shida sana na sasa hata nyumba hawawezi kununua.

Vijana wengi chini ya 25 bado wanaishi na wazazi.

Unayosema wewe ilikuwa ni between 80s na late 90s

Ni nchi ya Ujerumani tu ndio wenye uwezo kuchumi sasa hivi kwa Ulaya na ndio maana unamwona bibi Makel anatamba.

Unemployment sasa hivi Ujerumani ni chini ya 5% yaani imesimama kwenye 4.7%

Uingereza sasa hivi watoto wanarudi kwa wazazi kuchanga pesa za deposit ya kununua nyumba ya mortgage.
 
Mkuu ogn12000,

Sifahamu kama wewe ni mzungu na unapenda uchokozi na kuendeleza stereo typing au ni mwafrica ulie ndani ya pandora box.

WAO

1.Walitutawala.

2. Wako juu kimaendeleo.

3. Ndio wavumbuzi wa kila kitu.



Wao wazungu

1. Walitutawala kwasababu wao walikuwa wameendelea kijamii, kiuchumi na kisiasa na mpaka wanakaa pale kwenye mkutano Berlin mwaka 1884 walikuwa tayari wana fikra pana kuhusu mali zilizoko Afrika ilhali sisi tulikuwa tunatumia muda mwingi kuuzana kwa waarabu.

Rejea Biashara ya watumwa kabla ya kuja kwa wazungu Afrika.

2. Na hii ni mpaka kesho, wazungu wapo juu kimaendeleo na mpaka miaka ile ya 1884 walikuwa tayari wana barabara zao na miundombinu mingi tu ikiwemo treni za chini na sisi tulikuwa na njia za panya kupitisha watumwa kwenda Bwagamoyo(jina halisi) maana mzungu alishindwa kutamka Bagamoyo.

3. Sifahamu unamaanisha kwamba wazungu wote ama vipi lakini hata waBrazil, waIndia, Wachina na Warusi wao pia wanavumbua mambo mengi tu kama silaha, satellite na sasa wanazungumzia kumalizia kazi ya kutengeza Robots ambazo zinachukua baadhi ya kazi za binadamu.

Lakini yote haya kwao ilikuwa ni lazima kutokana na mazingira yalokuwa yakiwazunguka.

Unafahamu pia moja ya njia kubwa za utajiri wa Mfalme Leopard wa Belgium wakati nchi hiyo ikiitawala Congo,ilikuwa ni kuuza mpira baada ya kuvuna kwenye viwanda vya Ulaya ambako mpira huo ulitumika kutengeneza matairi ya Dunlop- narudia Dunlop.

Sasa mwafrika asingeweza kutengeza matairi wakati alikuwa akitumia machela kumbeba Mtemi Mirambo au Chifu Mangungo ili kuwasafirsha kutoka point A kwenda point B, wao wazungu walikuwa na mashindano ya magari na walitengeza matairi ya magari, baiskeli na hata mipira mbalimbali ya kuchezea ya wakati ule.

SISI

1. Tuko juu ktk mambo yasiyo hitaji sana matumizi ya akili kama vile riadha, kuruka, bondia, n.k yani physically tupo fit kuwazidi.
2. Ngono.
3. Uvuvi
4.Sisi tulichezea Diamond kwa kudhani haina maana.

Sasa sisi:

1. Mtu mweusi ana kipaji sana tena ni kipaji cha kuzaliwa na kama ingekuwa mazingira mazuri ya vwezo wa kifedha(maana nachukia kutamka neon wafadhili) , shule za kujifunzia na vyuo, vituo vya mazoezi kama vya Ulaya wachezaji wengi wa Afrika wasingekwenda Ulaya na kupata uraia huko kwa sababu mzungu anafahamu kwamba mwafika hana kitu ndio anamtumia kupata umaarufu huo ambao si wake.

2. Kuhusu ngono hio iko 50-50 ile tena mazingira yanachangia,kuna matatizo ya ajira, mishahara duni, elimu ndogo tena ya kuhongana ngono ili msichana afaulishwe, na ni kutokana na haya matatizo inakuwa rahisi kwa masuala kama ya uhusiano wa jinsi amoja na ushoga kupata nafasi kiasi cha kuathiri hata wale watanzania ambao kwa njia fulanifulani wameweza kutoka na kauwezo fulani kifedha.

Ila kama UKIMWI unatokana na ngono za bila kinga basi hata Ulaya ni sawa tu. Unafahamu kuna siku moja mwezi ulopita, data za wale watu wenye UKIMWI kwenye nchi moja ya Ulaya zilileak kutoka kwenye zahanati ambayo wazungu wanahudhuria kupata tiba kwenda kwenye mtandao na ikawa zahma maana hapakukalika na wazungu walikasirika kwelikweli.

Ulaya pia kuna zahanati za STDs na magonjwa mengine ya kizungu,if you know what I mean lakini mambo ya kumwona dokta yanasitiriwa katika uangalifu mkubwa sana.

Uvuvi, again hili ni mazingira ya kiuchumi, biashara elimu ya ujuzi wa kuvua kwa kutumia njia za kisasa na uangalizi. Lakini kama mwafrika kweli anataka kufanya uvuvi kuwa bora mbona ni kazi ndogo tu.

Lakini tunashindwa kujenga viwanda vya kusindika samaki, gati maalum za kutosha kupaki meli za uvuvi na hata masoko makubwa ya kisasa ya kutosheleza wavuvi wajinafasi na kazi yao?

4. na mwisho, hatukuchezea Diamond bali mababu zetu walibadilishana na bidhaa za vito mbalimbali vya thamani kwa bidhaa feki za wazungu kama vile midoli na kadhalika lakini tabia ya kufanya hivyo haikwisha juzi kwani bado tumeendeelea kubadilishana mikono na wazungu hata leo na ndiio tumeuza nchi yote na ushahidi upo- Gesi, Almasi, Migodi ya Kiwira, kampuni ya tanesco, mabenki you name them!

Lakini hili la akili kuzidiwa na wazungu sidhani kwamba ni kigezo katika hayo uloyataja isipokuwa kama unasema kuhusu White Supremacy, African Inferiority Complex and Vulnerability ambavyo siku zote ni kumuabudu mzungu kama Mungu, na kumbuka tabia hio ilianzishwa na mababu zetu na sisi kizazi cha leo hatujaacha hako katabia.
 
what I know Blacks were created to be dominant from gene to everything. Whites have just managed to treacherously degrade black people and most blacks has accepted it!
Ukweli ni kwamba if you are smart and you work with them, they are happy when you make mistakes because they are jealous of your smartness!
niambie kama kuna mchezo wowote ambao blacks they don't dominate
niambie which science blacks people haven't put any handful contribution in it despite marginalization
tell me which music and movies dont have blacks dominance
tell me the dominance of blacks in politics despite being marginalized
etc.
Blacks have extra ordinary gift from God, the only biggest problem now is the way we are smart in a positive side, we can also be very smarts on the negative side and the white people has capitalized on this.
 
what I know Blacks were created to be dominant from gene to everything. Whites have just managed to treacherously degrade black people and most blacks has accepted it!
Ukweli ni kwamba if you are smart and you work with them, they are happy when you make mistakes because they are jealous of your smartness!
niambie kama kuna mchezo wowote ambao blacks they don't dominate
niambie which science blacks people haven't put any handful contribution in it despite marginalization
tell me which music and movies dont have blacks dominance
tell me the dominance of blacks in politics despite being marginalized
etc.
Blacks have extra ordinary gift from God, the only biggest problem now is the way we are smart in a positive side, we can also be very smarts on the negative side and the white people has capitalized on this.

Nimekupenda buree
 
Kweli!Tungekuwa na akili japo kwa robo ya kiwango cha Wazungu,Lowasa hata mkewe hangeweza kumshabikia ili awe kiongozi wa juu wa taifa.
 
Ufanyike utafiti wa ubongo wa mzungu na mwafrika zaidi ya hapo mtakuwa mnajadili siasa ambazo niza uswahilini. Vipimo vya ubongo ndio litakuwa jibu hapa.
 
Kwa akili yangu ya kawaida tu
Kwanza maana ya
AKILI nadhani ni ule uwezo wa mtu kuweza kuyatumia/ kuyamudu mazingira yake kujinufaisha kwa namna iliyo bora.
Mweusi na mweupe nani kaliweza hili? Kwangu mimi naona mweupe kamzidi mweusi Akili...ukitaka upime akili ya mtu angalia anachofanya..weusi wanafanya nini...weupe wanafanya nini....weupe wanaakili aiseee
 
Ewaaa,

Tunarudi kule kule kwenye mazingira. Utamaduni nao ni sehemu ya mazingira.

Kwa hiyo tukija kwenye swala la "nature vs nurture" tatizo letu Waafrika si "nature" (kwamba hatuna akili) bali ni "nurture" (kwamba hatuna mazingira yanayofanya innovation ku flourish)

Na mpaka sasa hatuwezi kuingia katika utamaduni huu kwa sababu kuna old guards wanaofaidika na kuendelea kwa utamaduni wa kizamani. Na huu utamaduni umeota mizizi mara nyingine unakuta hata vijana wamepandikizwa ujinga huu, wengine hata hawajitambui haya mambo yanaoperate kwenye subconscious level.

Ndiyo maana mpaka leo utakuta kuna member vijana wamo humu hawaishi kumtetea na kum excuse Kikwete, kisa nini? Eti rais ni symbol of a nation, ndiye chifu wetu, ndiye baba mwenye nyumba kwa hiyo hawezi kusemwa.

Wakati Wafaransa washaua wafalme sana tu, tena si wafalme tu, mpaka na vijakazi wao na nobility yote, kwenye French Revolution.Leo wanaheshimiana, ukitaka kuleta ujanja ujanja Wafaransa migomo nje nje, wakati wao wana maisha bora kuliko sisi.

Lakini sie ambao tunalipwa mshahara wa January June - if at all- bado tunapiga kelele "Kidumu Chama cha Mpainduzi"

Unaona ngoma yetu ilivyo ngumu?

Ukiniuliza kwa nini tuko hivi, nitakujibu ni "nurture" si "nature".

Upo correct mzeee...
 
kabla ya kuchangia hoja hii ili uje na majibu ya ndiyo au hapana, unatakiwa uelewe NIN MAANA YA AKILI?

Just look around you brother and try arguing with reality. Au linganisha watu weusi waishio majuu na weupe wa huko. This is painful reality. Wachina wameenda ulaya wakajifunza kitu cha kupeleka kwao, weusi? Tusifarijiane kwa uongo, let the truth speak.

brain

brān/

noun

1.

an organ of soft nervous tissue contained in the skull of vertebrates, functioning as the coordinating center of sensation and intellectual and nervous activity.

synonyms:cerebrum,-cerebral matter,encephalon;-

informalgray matter

"the disease attacks certain cells in the brain"

2.

intellectual capacity.

"I didn't have enough brains for the sciences"

synonyms:intelligence,-intellect,-brainpower,IQ,-cleverness,-wit(s),-reasoning,wisdom,-acumen,-discernment,judgment,-understanding,-sense;More
 
Back
Top Bottom