Hivi ni kweli kwamba White people wana akili kuliko Blacks?

Chamoto, umesema yaliyo kweli, tukianza kutafuta chanzo cha ujinga wetu tutarudi hadi kwa nuhu na hatutapata majibu, muhimu tujiulize tufanye nini sasa?

Huu mjadala ni mzuri sana sana sana kwani usipojua kiini cha tatizo linalokukabili sio rahisi kuondokana nalo.
 
Chamoto, umesema yaliyo kweli, tukianza kutafuta chanzo cha ujinga wetu tutarudi hadi kwa nuhu na hatutapata majibu, muhimu tujiulize tufanye nini sasa?

This is exactly what I am talking about. Huyo Nuhu mwenyewe ni mythical figure ambaye tumeletewa na sasa tunaamini kwamba alikuwapo kama fact.

Kuna umuhimu kutafuta chanzo cha umasikini wetu -siamini kwamba sisi ni wajinga in the natural sense of the world-. Huwezi kupata dawa ya ugonjwa bila ya kujua ulivyoanza na kusambaa, labda kama unataka kubahatisha tu.

Sasa hivi wataalam wanatafuta dawa ya HIV/ AIDS, utasema wataalam hawa hawatataka kujua HIV/ AIDS ilivyoanza na inavyosambaa na cells zinavyoshambuliwa?

Kusema kwamba kutaka kujua historia si muhimu kwa sababu tunatakiwa tujue cha kufanya sasa tu ni ignorance.

Huwezi kujua cha kufanya sasa kama hujui historia.Huwezi kujua cha kufanya sasa na muelekeo tunaotakiwa kuuchukua kama hujui nyuma ilikuwaje.

The philosopher George Santayana said "Those who cannot remember the past are condemned to repeat it."

Now, in order not to be in a position to repeat past mistakes - very crucial in this age of globalization, neo-neocolonialism and economic hitmen- we need to know exactly what happenned.
 
Tulishapata visingizio vingi mno, laana ya nuhu, biashara ya utumwa , ukoloni, sera za ujamaa, vita vya kagera, utandawazi, ufisadi! sasa bado tu tunatafuta vingine! situanze kuwaza mwelekeo!

Sasa mji wa mwanza ni msafi kuliko miji yote africa mashariki na kati, hakuna mzungu aliyewekeza pale wala hatukupata consultant kutoka us!
 
Sasa kwa nini nchi nyingi za weusi au sehemu nyingi za weusi kote hapa duniani ziko nyuma sana kimaendeleo kulinganisha na sehemu za wazungu? Chukulia kwa mfano Haiti ni nchi ambayo ilianzishwa na weusi waliokuwa utumwani. Lakini angalia maisha yao. Sasa hebu linganisha Haiti na New Zealand kwa mfano, nchi kisiwa iliyoanzishwa na wahamiaji wengi wa kutoka Uingereza na sehemu zingine za ulaya. Mbona wao wameendelea zaidi...

Usisahau pia Wazungu pia walitumia nguvu kubwa sana ya Watumwa kwa miaka chungu nzima na kuwatumikisha kuliko hata wanyama tena bila ujira. Watumwa hao walisaidia sana katika kuleta maendeleo ya nchi zilizoshiriki katika biashara ya Utumwa zikiwemo Marekani na Uingereza.

Kuwa nyuma kwa nchi za Kiafrika kunasababishwa sana na kutokuwa na vision na utendaji finyu wa Viongozi wetu ambao mara nyingi maamuzi yao hayaweki mbele maslahi ya nchi. Kwa mfano unadhani nchi kama za Asia au Ulaya zingekubali kusaini mkataba wa kuchimba madini yao ya dhahabu na kuambulia 3% tu ya mapato? lakini kwa Afrika Viongozi wengi wanaweza kusaini mkataba kama huo na kuutetea kwa nguvu zao zote eti una maslahi kwa nchi zao! Tumepiga kelele tangu 2000 miaka 10 iliyopita kuhusu mkataba na makampuni hayo, hadi hii leo hauna lolote lililofanyika na jamaa wanaendelea kuiba utajiri wetu. Sasa katika hali kama hii maendeleo yatapatikana vipi!?
 
Hili wala hata haliitaji siasa kabisa maana ukweli tena unaooneka kwa macho waziwazi unajionesha wenyewe...wazungu wametupita.
NOTE. ASIYE KUBALI KUSHINDWA SI MSHINDANI.
 
Hili wala hata haliitaji siasa kabisa maana ukweli tena unaooneka kwa macho waziwazi unajionesha wenyewe...wazungu wametupita.
NOTE. ASIYE KUBALI KUSHINDWA SI MSHINDANI.

Wametupita nini? Kwa sababu gani?

Siyo unakuja ku dumb down mjadala na vi one liner hapa wakati watu wanataka ukisema kitu una ki back na analysis.

Umesoma post # 32 na kuielewa? Unaweza kujibu hoja zilizotolewa katika hiyo post?
 
Mi bado hapo kwenye mazingira sipo vizuri....maana kama mtu unaweza kupambana na mazingira ulionayo na kujiletea maendeleo means you have something in brain....thts my point!

Mkuu Kimey tukitaka kulielewa suala la mazingira hebu tuchukue mfano mdogo wa makabila Tanzania. Baadhi ya makabila yako nyuma ilhali mengine yana maendeleo.. Ni kwa nini? Akili?
 
Usisahau pia Wazungu pia walitumia nguvu kubwa sana ya Watumwa kwa miaka chungu nzima na kuwatumikisha kuliko hata wanyama tena bila ujira. Watumwa hao walisaidia sana katika kuleta maendeleo ya nchi zilizoshiriki katika biashara ya Utumwa zikiwemo Marekani na Uingereza.

Kuwa nyuma kwa nchi za Kiafrika kunasababishwa sana na kutokuwa na vision na utendaji finyu wa Viongozi wetu ambao mara nyingi maamuzi yao hayaweki mbele maslahi ya nchi. Kwa mfano unadhani nchi kama za Asia au Ulaya zingekubali kusaini mkataba wa kuchimba madini yao ya dhahabu na kuambulia 3% tu ya mapato? lakini kwa Afrika Viongozi wengi wanaweza kusaini mkataba kama huo na kuutetea kwa nguvu zao zote eti una maslahi kwa nchi zao! Tumepiga kelele tangu 2000 miaka 10 iliyopita kuhusu mkataba na makampuni hayo, hadi hii leo hauna lolote lililofanyika na jamaa wanaendelea kuiba utajiri wetu. Sasa katika hali kama hii maendeleo yatapatikana vipi!?
Mkuu Bubu..
Hili la watumwa ... sijui kuporwa raslimali zetu mimi huwa nalipinga.... Nadhani halina effect kubwa kwenye maendeleo yetu au yao. By the way hata mtu utajiulize kwa nini sisi ndio tuchikuliwe watumwa au tuporwe na sio wao?
 
Namkumbuka mwalimu wangu mmoja aliwahi kusema namnukuu "Hakuna njia yeyote sahihi ulimwenguni ya kumkadiria au kumtahini mwanafunzi". ukipata alama 100% darasani labda unakariri au umeibia mtihani, njia bora kabisa ya kumtest mwanafunzi ni kumtest akiwa kwenye actual performance! na ndo mana mnashangaa serikali iliyojaa maprofesa na ma dr's inavyoboronga, wazungu wametuzidi mno, sisi ni wavivu na tunaopenda mtelemko, walafi na wauaji katili kabisa!
 
Mkuu Bubu..
Hili la watumwa ... sijui kuporwa raslimali zetu mimi huwa nalipinga.... Nadhani halina effect kubwa kwenye maendeleo yetu au yao. By the way hata mtu utajiulize kwa nini sisi ndio tuchikuliwe watumwa au tuporwe na sio wao?

Mtu yeyote anayeelewa mtiririko wa geometric progression ataelewa ukiondoa hata kitu kidogo mwanzo, kinavyokuwa na effect kubwa kwa baadaye.

Wewe hujiulizi bara kubwa kama Afrika lina watu wachache kuliko either India or China? Watu wangapi walichukuliwa katika utumwa na effects zake katika maendeleo ya Afrika leo ni yapi? Na mchango wao katika maendeleo ya west ni upi?

Hili swala la kwa nini sisi ndio tuporwe mbona nimeshalijibu kwa kituo tu, au hujasoma nilivyoelezea role ya shida katika innovation and our environment being a problem disguised as a blessing?
 
Jamani tusikatishane tamaa! Mgeninani, kuna white people mitaa ya Bethlehemu kule Dublin wanaishi katika umaskini mkubwa na kuna mitaa kama ya Merenssee iko juu kuliko miji ya ulaya.
 
Wametupita nini? Kwa sababu gani?

Siyo unakuja ku dumb down mjadala na vi one liner hapa wakati watu wanataka ukisema kitu una ki back na analysis.

Umesoma post # 32 na kuielewa? Unaweza kujibu hoja zilizotolewa katika hiyo post?
Wametupita vyote(vizuri na vibaya), kwa sababu wanaakili zaidi yetu.
Kaka hii haitaji kuandika backing analysis sababu vitu vyote viko wazi tena vyaonekana kwa macho na sio abstract....starting with ua keyboard that makes u link with the world from ua home.....then u can go on and on........
 
Wametupita vyote(vizuri na vibaya), kwa sababu wanaakili zaidi yetu.
Kaka hii haitaji kuandika backing analysis sababu vitu vyote viko wazi tena vyaonekana kwa macho na sio abstract....starting with ua keyboard that makes u link with the world from ua home.....then u can go on and on........

This is what I call a classic case of dumbing down things and farting idiocracy.

Umesoma post # 32? Au unaendelea kupalilia mazingira ya uvivu wa kusoma?
 
Nani kakudanganya? na inategemea mazingira ya kila mtu.

Kimsingi wazungu wanonekana waakili kuliko cc kalini si kweli. Kwanini?
Kwanza wanashida nyingi ndo maana wantafuta kujikomboa mfano kuna baridi sana ndo maana wanakuwa na heaters we mtaz unakaa Manzese na lile joto utafikiria heater? labda uende baharini ukapunge upepo tu.
Pili nkilima ekari tatu na mvua ikanyesha nakula mwaka mzima sasa mbolea ya kisasa ya nini?

Shida kubwa huku ni wanyama wa porini ambao kwa mikuki tu nawamaliza sasa bunduki ya nini? Wao c wasumbuana kwa ubabe, waache watengeneze mabomu.

Halafu bongo kwenda Bk naweza tumia ungo within no time nimefika sasa treni ya umeme ya nini?

Ukiangalia mambo ya kale na ugunduzi mwingi ulifanya na waafrica mfano wamisri na michoro mingine km ya mapango ya Amboni.

Mi nashangaa wazungu wanaaposema kuwa mtu wa kwanza kugundua mlima Kilimanjaro eti ni mzungu, Kweli? Na wakibosho wakaao chini ya mlima je au hawakuuona hadi alipokuja mzungu?

Ebwana ee, sisi tuakili kama wao tu tatizo wabongo tunaona kila chao ndo bomba. Kazi ipo!
icon8.gif
 
I think it is a case of an "interrupted evolutionary path" on the part of Africa.
The different races/ continents of this world were all meant to follow different paths in human development or "evolution", so to speak.

Like Kiranga said, Europe was to "modern standards" ahead of many parts of the world be it because of the closed nature of African and other civilizations or because of the harsh environment in the Northern Hemisphere that necessitated innovation in order to survive. They boarded their ships and came upon Africa...a people that were on a whole different path to civilization....and they interfered with the process. Confused the African people....infact, left them confused to date!

Ila kusema wametupita akili, la hasha. Labda ujanja (sly)
 
Mimi naona hii ni jinsi wanavyotumia akili zao na sio kama waakili. Watu wote tunazaliwa na akili tunatofautiana jinsi ya kuzitumia. Wenzetu wanatumia akili zao kwa maendeleo ya nchi zao wakati sisi tunafikiria ufisadi au jinsi ya kupata pesa isivyo kihalali na kwa maendeleo binafsi!!
 
Watu weupe ni wabaguzi period! hii ndio wanaijua sana
Watu weupe ni Wezi- waliiba technology kutoka africa
Watu weupe ni Wanyonyaji- walinyonya watu weusi miaka mingi
 
This is what I call a classic case of dumbing down things and farting idiocracy.

Umesoma post # 32? Au unaendelea kupalilia mazingira ya uvivu wa kusoma?
Niliisoma mkuu na nimeoisoma tena.
Nafikiri hapa tunaongelea generality na sio singularity......maana tukisema kwa singularity i'm also black who is inteligent among baadhi ya wanafunzi wenzangu who is wazungu ninaosoma nao....BUT when we come to the issue of RACE... WHITES VS BLACKS...hapo ndipo tunapopigwa bao tena lile la kisigino yaani kwenye kona tunaachwa kwa 120 speed....sizarau race yangu NO!...black is my niggahood forever but binafsi waga sipendi kujifariji kwa kitu ambacho nakiona wazi sio kweli ila kwa influence fulani fulani nikisuport tu...i always call a spade SPADE.
Mytake is that we guys must work hard hususani kuwaanda vizazi vyetu ili siku moja nasi tuwe tilted kama tunaakili zaidi ya wazungu.....Wachina haooo wameanza kuweza tena kwa speed sana......so even us we can....though it will take time...
Note: kwa move kama ya viongozi tulionao Bongo sasa believe me kaka tutazidi kua hatuna aikili mbele ya Mzungu na hata hizi tulizonazo sasa i gues zitaisha zooote.
 
Niliisoma mkuu na nimeoisoma tena.
Nafikiri hapa tunaongelea generality na sio singurality......maana tukisema kwa singurality i'm also black who is inteligent among baadhi ya wanafunzi wenzangu who is wazungu ninaosoma nao....BUT when we come to the issue of RACE... WHITES VS BLACKS...hapo ndipo tunapopigwa bao tena lile la kisigino yaani kwenye kona tunaachwa kwa 120 speed....sizarau race yangu NO!...black is my niggahood forever but binafsi waga sipendi kujifariji kwa kitu amabacho nakiona wazi sio kweli ila kwa influence fulani fulani nikisuport tu...i always call a spade SPADE.
Mytake is that we guys must work hard hususani kuwaanda vizazi vyetu ili siku moja nasi tuwe tilted kama tunaakili zaidi ya wazungu.....Wachina haooo wameanza kuweza tena kwa speed sana......so even us we can....though it will take time...
Note: kwa move kama ya viongozi tulionao Bongo sasa believe me kaka tutazidi kua hatuna aikili mbele ya Mzungu na hata hizi tulizonazo sasa i gues zitaisha zooote.

"Singurality" ndiyo nini? Do you even know what you are talking about, your very self?
 
Back
Top Bottom