pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,649
- 13,705
Bange mbaya sana, ndio maana zinapigwa marufuku, hata huyu anadai ni utafiti kafanya! wendawazimu unakuandamana naapa. labda uwahi mirembe.
Alooo si wote kaka. Kuna ma black beauty wa ukweli out there. Kama unadhan wote wanatafuta mwanamke mweupe huo ni uongo.Hivi kwann kila mtu anawazia kuoa mwanamke mweupe sasa awa weusi wataolewa na nani ?
Ndo maana wasichana wanajichibua ili wapate hizo ndoa na wenyewe.
Sasa hivi ukikuta mtu kaoa mwanamke mweusi basi ujue kabilkwa wo wowo ..
Wanawake weusi wengi ndo masinngle mother .
Umekosaa!!! kwani upo bongo au ethiopia?Mimi natamani sana kupata mwanamke mweusi mwenye umbo la kibantu lakini sijabahatika
Kumbe wanyantuzu wanapenda wanawake weupe eeeeh! Ngoja nijichubue ili nimnase huyu mnyantuzu aliyehamia mtaani kwetuUtakua ni mnyantuzu kama si msukuma wewe.....