Nawapongeza wote ambao mmekuwa mstari wa mbele kuweka wazi yaliyofichika na uchafu wa wale walioteuliewa kuongoza na badala yake kutawala!
Pongezi za pekee kwa mwanzilishi/waanzilishi wa hili jukwaa!
Swali lipo wazi, je kabla ya kulaumu kuna hata mmoja wetu amewahi chukua hatua yoyote kutaka kujua matumizi ya kile achangiacho kama kodi?
Siwaungi mkono watawala wa sasa maana si viongozi bali sisi tunachukua hatua gani madhubutu kuwawajibisha watawala hawa? Nimechoka na malumbano yasiyo na msingi tuingie kwenye utekelezaji.
Salam kwao wanaouhujumu uchumi wa taifa hili, watanzania tumechoka uvumilivu umefika kikoma! Mtujibu kwa vitendo na si kuhubiri kumaliza ufisadi
Je mwajua mwastarehe kwa kodi zinazowatesa watanzania masikini. Kodi rejea imekuwa ndoto kwa mtanzania tangu serikali ya awamu iliyopita!
Pongezi za pekee kwa mwanzilishi/waanzilishi wa hili jukwaa!
Swali lipo wazi, je kabla ya kulaumu kuna hata mmoja wetu amewahi chukua hatua yoyote kutaka kujua matumizi ya kile achangiacho kama kodi?
Siwaungi mkono watawala wa sasa maana si viongozi bali sisi tunachukua hatua gani madhubutu kuwawajibisha watawala hawa? Nimechoka na malumbano yasiyo na msingi tuingie kwenye utekelezaji.
Salam kwao wanaouhujumu uchumi wa taifa hili, watanzania tumechoka uvumilivu umefika kikoma! Mtujibu kwa vitendo na si kuhubiri kumaliza ufisadi
Je mwajua mwastarehe kwa kodi zinazowatesa watanzania masikini. Kodi rejea imekuwa ndoto kwa mtanzania tangu serikali ya awamu iliyopita!