Hivi ni kweli kwamba mwanamke anayepika chakula kitamu na yeye ni mtamu?

Mchumba

JF-Expert Member
Jul 27, 2012
276
260
Hebu wana MMU tuliongelee hili kidogo sijui kama lina ukweli wowote.

Eti bidada akiwa mpishi mzuri wa chakula yaani kina ladha nzuri, kuna watu wanadai kuwa hata kitandani pia anakuwa ni mtamu hivyo hivyo kama chakula chake.

Wajuzi wa hii kitu naomba kuuliza kuna kaukweli hapa au ni projo tu?

Kama ni hivyo nikajiunge kozi kabisa ya mapishi vyuoni huko lol.
 
Hii mada: nilishapata kesi hapa kibaruani kwangu, staff mmoja mwanamme alimtania mdada naye staff wetu, kwa kuwa yule dada vidole vyake vya miguuni vimeachana sana, basi yule kaka amwambia yule dada kuwa hivi vidole vyako mwonekano wake wa kuchanua inaelekea hata k..a yako ni pana hivyo hivyo
 
Hujakosea, na mwalimu wa hayo yote ni mama au mlezi wako yanapatikana hapo tuu.... hayana chuo...
 
Nasikia pia chakula chaweza kuwa kitamu kama mwanamwali atakipika huku akiwa hajavaa "KASEJA" ..a.k.a mlinda mlango!.
 
Hebu wana MMU tuliongelee hili kidogo sijui kama lina ukweli wowote...

Eti bidada akiwa mpishi mzuri wa chakula yaani kina ladha nzuri, kuna watu wanadai kuwa hata kitandani pia anakuwa ni mtamu hivyo hivyo kama chakula chake.

Wajuzi wa hii kitu naomba kuuliza kuna kaukweli hapa au ni projo tu??

Kama ni hivyo nikajiunge kozi kabisa ya mapishi vyuoni huko lol.
Eeer ngoja nikumbuke......m,n,h,d,.....aisee ni kweli.
 
Feeling zakoo tuu.....mi stakii kuaminii hayooo cz kupkaa hakumfany mtuu kuwaa mtam naa yy mfanoo waa zanzbr wadada wengi wanajuaa kupkaa lakn kwny 6*6 wavivu.....mapnz yao yaa kuigizaaa....
 
Feeling zakoo tuu.....mi stakii kuaminii hayooo cz kupkaa hakumfany mtuu kuwaa mtam naa yy mfanoo waa zanzbr wadada wengi wanajuaa kupkaa lakn kwny 6*6 wavivu.....mapnz yao yaa kuigizaaa....
we umesema kweli! na msema kweli ni mpenzi wa mungu! wanawake wetu zenj kitandani for sure hammna kitu!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom