sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,499
- 41,739
Yeah....Wacha wee!
Unajua kupiika??? Vzr
Yeah....Wacha wee!
Bila shaka wewe pia utakuwa mtamu km kile chakula ulichonipikiaNdio
Hilo ni eneo langu la kujidai.Yeah....
Unajua kupiika??? Vzr
Hahahaha..... Alafu kule kwingine it seem ulisusa au???Hilo ni eneo langu la kujidai.
Hapana, nipo japo mdogo mdogo, wenyewe wananiandama "bring back our sumbai" nakutafuta kama lulu.Hahahaha..... Alafu kule kwingine it seem ulisusa au???
hahah.... Kule kwengineHapana, nipo japo mdogo mdogo, wenyewe wananiandama "bring back our sumbai" nakutafuta kama lulu.
Dah.. Haya ngoja ni assume kuwa nimeelewahahah.... Kule kwengine
Njoo pmDah.. Haya ngoja ni assume kuwa nimeelewa
Njoo pmDah.. Haya ngoja ni assume kuwa nimeelewa
PoaNjoo pm
We Mchumba nitakuoa wewe, shauri yako. Hapa hamna ukweli wowote, kama kungekuwa na ukweli basi kina Mama ntilie wote wangeolewa na wasingepewa ruhusa ya kuuza vyakula. Utamu wa kitandani unatokana na ubunifu wa mtu. Naomba contacts zako tuzungumzie haya faragha kidogo.[/QUOTEnitFute fRagha