dracular
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 737
- 1,036
Habari za majukumu ndugu zangu?
Kwa kipindi kirefu sana nimekuwa nikiona mada hapa jukwaani za kuhusu ma single mama ila sikuwa mchangiaji mzuri katika muktadha huo.. Ila nliona pande mbili kuu zikichuana vikali kwa hoja kali kati ya wale wanao amini kuwa thamani ya mwanamke haishuki kwa kuzalishwa na wale walio sema inashuka.
Back to the point...
Mwaka 2014 nilipataga mwanamke mmoja mzuri tu na nlimpenda kama vile ambavyo mwanamke anapaswa kupendwa ila baadae alibadilika ghafla kitabia baada ya kupata mtu aliekuwa vizuri kiuchumi kuliko mimi na akanimwaga. Ila chakushangaza mwaka 2016 nilikutana nae akiwa tayari ameshazalishwa mtoto na yule jamaa then jamaa akasema hayupo tayari kuishi nae basi alivyoniona kaniganda turudiane akidai yupo tayari kuishi na mimi muda nitakaona mimi unafaa yaani hata siku hiyohiyo nimchukue ila tu nijitambulishe kwao.. Kwa kwelii hali ile ilinishangaza sana kwa sister duu kama yule kulegeza misimamo kiasi kile.. Nami pia nilimpotezea wala sikutaka hata kumrudia japo alionesha huruma sana.
Not only that...
Mwaka 2018 nilikutana na mtoto mmoja mkali hatari.. Nikamwaga verse zangu akanichomolea, nikabembeleza kwa kipindi kirefu bila mafanikio yoyote zaidi ya kuambulia maneno ya kejeli na dharau tu.. Nikaona isiwe tabu nikafata maisha yangu.
Sasa week iliyopita kanitafuta hata sijui namba yangu kaitoa wapi.. Tukapiga story kwa muda mrefu then akanambia kuna jamaa kamzalisha ila haishi nae.. Na lile ombi langu la kipindi kile yupo tayari kuishi na mimi muda wowote nitakao hitaji mimi ila cha muhimu nikajitambulishe kwao.
Sasa nachojiuliza mbona mimi ni yule yule ni kipi hawa kina mama kinawarudisha kwangu? Je, kuzalishwa kwao kumewapotezea soko la wanaume?
Kwa kipindi kirefu sana nimekuwa nikiona mada hapa jukwaani za kuhusu ma single mama ila sikuwa mchangiaji mzuri katika muktadha huo.. Ila nliona pande mbili kuu zikichuana vikali kwa hoja kali kati ya wale wanao amini kuwa thamani ya mwanamke haishuki kwa kuzalishwa na wale walio sema inashuka.
Back to the point...
Mwaka 2014 nilipataga mwanamke mmoja mzuri tu na nlimpenda kama vile ambavyo mwanamke anapaswa kupendwa ila baadae alibadilika ghafla kitabia baada ya kupata mtu aliekuwa vizuri kiuchumi kuliko mimi na akanimwaga. Ila chakushangaza mwaka 2016 nilikutana nae akiwa tayari ameshazalishwa mtoto na yule jamaa then jamaa akasema hayupo tayari kuishi nae basi alivyoniona kaniganda turudiane akidai yupo tayari kuishi na mimi muda nitakaona mimi unafaa yaani hata siku hiyohiyo nimchukue ila tu nijitambulishe kwao.. Kwa kwelii hali ile ilinishangaza sana kwa sister duu kama yule kulegeza misimamo kiasi kile.. Nami pia nilimpotezea wala sikutaka hata kumrudia japo alionesha huruma sana.
Not only that...
Mwaka 2018 nilikutana na mtoto mmoja mkali hatari.. Nikamwaga verse zangu akanichomolea, nikabembeleza kwa kipindi kirefu bila mafanikio yoyote zaidi ya kuambulia maneno ya kejeli na dharau tu.. Nikaona isiwe tabu nikafata maisha yangu.
Sasa week iliyopita kanitafuta hata sijui namba yangu kaitoa wapi.. Tukapiga story kwa muda mrefu then akanambia kuna jamaa kamzalisha ila haishi nae.. Na lile ombi langu la kipindi kile yupo tayari kuishi na mimi muda wowote nitakao hitaji mimi ila cha muhimu nikajitambulishe kwao.
Sasa nachojiuliza mbona mimi ni yule yule ni kipi hawa kina mama kinawarudisha kwangu? Je, kuzalishwa kwao kumewapotezea soko la wanaume?