Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 575
wana jf ninaomba mnipe sababu za msingi kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa msamiati ukilinganisha na kiingereza evdenc
hahahahaha, maaana za kulazimisha!!Kichapishio, UKI(uti wa mgongo wa kinakilishi), waya malaya, kinasa mawimbi mtandao, na kielekezo komandi. Una lingine?
Temperature = hali jotoNaomba tafsiri ya Temperature na Heat in swahili.
Naomba tafsiri ya Temperature na Heat in swahili.