Hivi ni kweli kuwa watu maarufu(Wanamuziki na waigizaji) wa Tanzania wanapitia hali mbaya kiuchumi kiwango cha kufikia kujuta kuwa maarufu

BabaMorgan

JF-Expert Member
Dec 18, 2017
4,041
10,463
Recently tumeona msanii wa kike ambaye wengi tunaamini ni moja kati wasanii wa muziki wenye mafanikio kwenye muziki na uchumi Vanessa Mdee(V Money) akieleza changamoto anazozipitia kiasi cha kuishi maisha fake ili tu jamii imuone ana mafanikio wakati uhalisia ni tofauti.

Kama Vanessa aliyosema ni kweli je hali ipoje kwa wasanii wengine ambao hawana exposure nchi za nje, hit songs nyingi, hawafanyi matangazo na hawana wadhamini? Pengine ndo chanzo cha baadhi ya wasanii Ku-Undergo mental illness.

Maoni Yangu ni kuwa kama kweli sanaa hailipi. Ni wakati wasanii wakafanya just for fun na sio source yao kuu ya income. Wa-deal na mambo mengine kama biashara au kuajiriwa kwenye Taasisi za kiserikali na binafsi.
 
Hiyo uliyoita ‘exposure’ ndo unayomtafuna huyo demu, anatamani kuishi kama kina Kyle Jenner kwa vile tu anadhani yupo mazingira yao!

Wenzake huku hawajui hayo, wakitingisha makalio insta tu wakapata ‘danga’ DM wanajua washayapatia maisha.

Siku hizi labda na kuimbia chama tawala ili kupiga kampeni!
 
kipindi cha zamani kwa kikwete biashara za kusafirisha madawa na kudanga kulisaidia, kwa sasa hali imebadilika sana
Awamu ya jembe JPM hii,mikato mikato na ujanja ujanja kwishney!!!Walikuwa wanatanua kwa kuumiza vijana wa wenzao!!!

JPM 5 TENA NA AENDELEE KUKAZA HIVI HIVI ILI TUWE KWENYE MSTARI.

TULIZIDI SANA UJINGA UJINGA!!!!
 
Recently tumeona msanii wa kike ambaye wengi tunaamini ni moja kati wasanii wa muziki wenye mafanikio kwenye muziki na uchumi Vanessa Mdee(V Money) akieleza changamoto anazozipitia kiasi cha kuishi maisha fake ili tu jamii imuone ana mafanikio wakati uhalisia ni tofauti.

Kama Vanessa aliyosema ni kweli je hali ipoje kwa wasanii wengine ambao hawana exposure nchi za nje, hit songs nyingi, hawafanyi matangazo na hawana wadhamini? Pengine ndo chanzo cha baadhi ya wasanii Ku-Undergo mental illness.

Maoni Yangu ni kuwa kama kweli sanaa hailipi. Ni wakati wasanii wakafanya just for fun na sio source yao kuu ya income. Wa-deal na mambo mengine kama biashara au kuajiriwa kwenye Taasisi za kiserikali na binafsi.
Wengi wao nafake life ila kiukweli wanahali mbaya mno mno
 
Recently tumeona msanii wa kike ambaye wengi tunaamini ni moja kati wasanii wa muziki wenye mafanikio kwenye muziki na uchumi Vanessa Mdee(V Money) akieleza changamoto anazozipitia kiasi cha kuishi maisha fake ili tu jamii imuone ana mafanikio wakati uhalisia ni tofauti.

Kama Vanessa aliyosema ni kweli je hali ipoje kwa wasanii wengine ambao hawana exposure nchi za nje, hit songs nyingi, hawafanyi matangazo na hawana wadhamini? Pengine ndo chanzo cha baadhi ya wasanii Ku-Undergo mental illness.

Maoni Yangu ni kuwa kama kweli sanaa hailipi. Ni wakati wasanii wakafanya just for fun na sio source yao kuu ya income. Wa-deal na mambo mengine kama biashara au kuajiriwa kwenye Taasisi za kiserikali na binafsi.
Subiri uone watakavyotumiwa na chama cha mapinduzi halafu baada ya hapo utaona watakavyokua mitaani
 
Awamu ya jembe JPM hii,mikato mikato na ujanja ujanja kwishney!!!Walikuwa wanatanua kwa kuumiza vijana wa wenzao!!!

JPM 5 TENA NA AENDELEE KUKAZA HIVI HIVI ILI TUWE KWENYE MSTARI.

TULIZIDI SANA UJINGA UJINGA!!!!
Kweli mkuu, tena tz ilihitaji rais Kama JPM mapema sana! Angeendelea yule tayari tungekuwa tushauzwa huko ughaibuni!!
 
Back
Top Bottom