Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Kumekuwa na hija nyingi sana kwenye thread zinazohusiana na mahusiano na michango mingi kuwa wasichana walio wengi kuwa hawawezi kumpenda au kujenga uhusiano na mwanaume kama hakuna kitu atakachopewa iwe gari/pesa/kulipiwa kodi ya nyumba/ada ya shule/kununuliwa au kupewa hela kwa ajili ya vipodozi/kujaziwa gari mafuta?
Kwa nini hawa viumbe wanashutumia tuhuma kubwa kama hiyo.
Hivi ni kweli bila kitu hakuna upendo??????
Kwa nini hawa viumbe wanashutumia tuhuma kubwa kama hiyo.
Hivi ni kweli bila kitu hakuna upendo??????