Hivi ni kweli kuwa wasichana hawapendi mwanaume bila kupewa kitu?

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Feb 18, 2009
3,930
4,893
Kumekuwa na hija nyingi sana kwenye thread zinazohusiana na mahusiano na michango mingi kuwa wasichana walio wengi kuwa hawawezi kumpenda au kujenga uhusiano na mwanaume kama hakuna kitu atakachopewa iwe gari/pesa/kulipiwa kodi ya nyumba/ada ya shule/kununuliwa au kupewa hela kwa ajili ya vipodozi/kujaziwa gari mafuta?

Kwa nini hawa viumbe wanashutumia tuhuma kubwa kama hiyo.

Hivi ni kweli bila kitu hakuna upendo??????
 
Kumekuwa na hija nyingi sana kwenye thread zinazohusiana na mahusiano na michango mingi kuwa wasichana walio wengi kuwa hawawezi kumpenda au kujenga uhusiano na mwanaume kama hakuna kitu atakachopewa iwe gari/pesa/kulipiwa kodi ya nyumba/ada ya shule/kununuliwa au kupewa hela kwa ajili ya vipodozi/kujaziwa gari mafuta?

Kwa nini hawa viumbe wanashutumia tuhuma kubwa kama hiyo.

Hivi ni kweli bila kitu hakuna upendo??????


Chaku, thread zako nyingi zinashabihiana.
Unafanya utafiti nini juu ya viumbe hawa adhimu?

Hawa wanawake bana, hasa wa dunia ya leo, ni wabaya sana!

Wanatumia kauli kama ya Invisible kwamba ` mkono mtupu haurambwi`!

Kwa msichana ambae yuko katika standard ya kawaida tu, lazima uonyeshe msisitizo wa hela ya makemiko, maenjo-face, malipstick, machok-stick na kadhalika, ili at least akuelewe unachomaanisha!

Sasa hujaenda kwa hao wa kutaka nyumba na ma-Harrier`

Fedha zimechukua nafasi ya juu sana katika penzi, hata hawa wadada wa humu JF wanajua hilo, japo watalielezea kwa kulipamba kwa maneno ya kulifunikafunika kiaina!

Zamani, pesa hazikutumika kwa kumvutia mwanamke! Kilichozingatiwa ni uchapa kazi na upendo!...jaribu sasa hivi, hata kama umepewa tuzo zote za ufanyakazi bora, bila ya kuhonga ndugu...mke unamkosa!

Nawahurumia sana akina Sipo ambao wana Vision2015 za kuoa, maana kipindi hicho sijui itakuwaje! Kwi kwi kwiiii...
 
shemeji,
bila kutoa kitu mapenzi siku hizi hayapo!, ndo maana waswahili wanasema kono mtupu haulambwi!. ila sio kwa wanawake wote, wengine hawana nongwa na kitu kutoka kwa mwanaume.
ingawa mapenzi ya kweli ni moyo wa mtu kumridhia mwenzi wake katika hali yoyote ile, hivyo mwanaume nae iabidi ajitahidi kadri ya uwezo wake kumpatia mwanamke chochote kile, na kwakua uwezo wa mtu unatofautiana na mtu mwingine, basi mwenye uwezo kubwa atatoa gari, mwenzangu na mie hata bajaj sina nitatoa kadri ya uwezo wangu.
unapompa kitu mwenzi wako iwe pesa au mali inaonyesha ni jinsi gani unamjali na kumpenda. hali hii itakua tofauti pale tu mwanaume akiwa hana uwezo mkubwa na mwanamke akitamani awe na kitu ambacho labda kaona mwanamke mwenzake kapewa, hapo huyo mwanamke ataona hakuna mapenzi.

shemeji, hebu tujikumbushe kwenye mada moja ulisema hivi
Mbali na vyote utuavyo we need to have these things before bwana.sasa lift mpaka lini?

na huyu mbeijing mwingine nae alisema hivi:
........ sisi madada hatutaki taabu eti eh!!!

hapo ukimpa mwanamke gari, pesa, nyumba etc, atakuona unampenda sana.
ni sawa na demu wa mkuu Fidel80 alipokua anakomaa apewe elfu 70 akare-touch nywele akidhani ndio anapendwa!, so mkuu asingekua anampa hizo elfu 70 basi huyo mwanamke angesema hapendwi, lakini kwa kua mkuu Fidel80 ni PDG, haikusumbua kivileeeee!
 
Last edited:
Je ingekuwaje kama wangekuwa hawapewi kitu kabisa? Wengi hawana kazi na hutegemea waume zao. Yaani kuna mtu anafikiria kuwa utamtongoza demu ukajiangushe nae then aondoke hivi hivi bila hata voucher. Hiyo itakuwa mbingu sijui ya wapi. Vitu vingine ni demand driven , vinakuja tu hata kama hajakuomba.
 
Chaku, thread zako nyingi zinashabihiana.
Unafanya utafiti nini juu ya viumbe hawa adhimu?

Hawa wanawake bana, hasa wa dunia ya leo, ni wabaya sana!

Wanatumia kauli kama ya Invisible kwamba ` mkono mtupu haurambwi`!

Kwa msichana ambae yuko katika standard ya kawaida tu, lazima uonyeshe msisitizo wa hela ya makemiko, maenjo-face, malipstick, machok-stick na kadhalika, ili at least akuelewe unachomaanisha!

Sasa hujaenda kwa hao wa kutaka nyumba na ma-Harrier`

Fedha zimechukua nafasi ya juu sana katika penzi, hata hawa wadada wa humu JF wanajua hilo, japo watalielezea kwa kulipamba kwa maneno ya kulifunikafunika kiaina!

Zamani, pesa hazikutumika kwa kumvutia mwanamke! Kilichozingatiwa ni uchapa kazi na upendo!...jaribu sasa hivi, hata kama umepewa tuzo zote za ufanyakazi bora, bila ya kuhonga ndugu...mke unamkosa!

Nawahurumia sana akina Sipo ambao wana Vision2015 za kuoa, maana kipindi hicho sijui itakuwaje! Kwi kwi kwiiii...

Ebwana wanawake wanapenda sana utegemezi japo degree zimetofautiana kutoka mmoja kwenda mwingine na hili ndilo linalowafanya eti ili aone kuwa anapendwa basi lazima yule ampendaye akidhi matakwa yake ya utegemezi ndio maana utaona mwanamke kuna mambo ambayo ni madogo madogo, kwa nionavyo mimi, anaweza kujimudu mwenyewe lakini atataka atekelezewe na mwanaume. Hiyo ni kwa upande ule

Ila kwa upande huu sasa, utaona kidume kinatafuta sifa kuingia gharama ambazo hata huyo mwanamke mwenyewe haitaji ilimradi kuonesha misuli yake kukidhi ambacho hajatakiwa kukifanya. Nadhani huwa ni MISIFA YA KIJINGA. Hii nayo ni upande huu

kwa pande zote sasa nadhani ni mambo ya sidhani kama nikiyaita ya kuumbwa hivyo, mara nyingi wanaume wanadhani kupenda ni kuonesha misuli kiuwezo wa material na wanawake kwao kupendwa ni kupatiwa materials wanazohitaji. Ni hayo
 
hatutaki mwanaume suruali , tunataka pesa...........joke. ndo mambo ya leo.

Nanyi wanaume mmezidi kujipendekeza hata kama mwanamke hataki basi unampa tu ili uonekane kibosile.
 
dah mkuu iyo mada ya leo saluti yani

kama vile ulikuwepo mioyoni mwa masela wangu wote ambao huwa tunajadili mambo kama hayo!

theone
 
Kumekuwa na hija nyingi sana kwenye thread zinazohusiana na mahusiano na michango mingi kuwa wasichana walio wengi kuwa hawawezi kumpenda au kujenga uhusiano na mwanaume kama hakuna kitu atakachopewa iwe gari/pesa/kulipiwa kodi ya nyumba/ada ya shule/kununuliwa au kupewa hela kwa ajili ya vipodozi/kujaziwa gari mafuta?

Kwa nini hawa viumbe wanashutumia tuhuma kubwa kama hiyo.

Hivi ni kweli bila kitu hakuna upendo??????

Ndiyo wanawake wa namna hiyo wapo ila siyo wote. The same way kuna wanaume wanamtaka mwanamke kwa ajili ya uroda tu ila si wote. It's a two way thing. Cha muhimu ni uangalie ni wanaume/wanawake wa aina gani unao waattract. Kama wewe kila ukitongoza unatumia gia ya pesa uta attract wanawake wachunaji kila siku na wanawake wa maana kamwe hawata kupa time.
 
Hodi hodi jamani wanajamii nipokeeni maana mie ni mgeni humu wa kuchangia ingawa ni msomaji sana hii site long time, Nadhani mmenipokea kwa mikono yote,
TUwe wakweli mapenzi bila hela au gari au chochote kama nyumba ni BIG NO, basi kama huna kabisa hata voucher!! dunia ilishapinduka long time wajameni, Money first!!
 
Ebwana wanawake wanapenda sana utegemezi japo degree zimetofautiana kutoka mmoja kwenda mwingine na hili ndilo linalowafanya eti ili aone kuwa anapendwa basi lazima yule ampendaye akidhi matakwa yake ya utegemezi ndio maana utaona mwanamke kuna mambo ambayo ni madogo madogo, kwa nionavyo mimi, anaweza kujimudu mwenyewe lakini atataka atekelezewe na mwanaume. Hiyo ni kwa upande ule

Ila kwa upande huu sasa, utaona kidume kinatafuta sifa kuingia gharama ambazo hata huyo mwanamke mwenyewe haitaji ilimradi kuonesha misuli yake kukidhi ambacho hajatakiwa kukifanya. Nadhani huwa ni MISIFA YA KIJINGA. Hii nayo ni upande huu

kwa pande zote sasa nadhani ni mambo ya sidhani kama nikiyaita ya kuumbwa hivyo, mara nyingi wanaume wanadhani kupenda ni kuonesha misuli kiuwezo wa material na wanawake kwao kupendwa ni kupatiwa materials wanazohitaji. Ni hayo

Tabia za utegemezi ziko kotekote kwa wanaume na wanawake.Kinachotofautiana ni dhana na hulka zilizomo kwenye jamii na vichwa vya watu.Nitatoa maoni yangu kuhusu kilichozungumzwa hapo juu na nikawekea rangi kama ifuatavyo.
1.Black - Hiyo ni dhana potofu.Wapo wanawake na wanawake.Kuna wenye kupenda utegemezi kama walivyo wanaume wenye kupenda dezodezo. Inategemea hao unaowajua wewe wenye hulka hiyo.
2.Red- Hilo ndio jibu.Kujipendekeza na kujifanya unakuja kumuokoa mtu ambaye wakati mwingine hana hata haja ya kuokolewa nawe.
3.Purple -Mwanaume mwenye mwelekeo huo mara nyingi ana mapungufu ambayo anajaribu kuyaficha kwa kujifanya anavyo vya kutoa kama msaada wa mama Theresa.
Kwa maisha ya sasa ni ujinga wewe mwanaume kujifanya unajua sana kuhonga.Mambo ni kupeana.Ila ukipenda mwanamke aliye dhaifu kwa kila hali kuanzia kufikiri hadi kujitafutia, basi uwe tayari kumgharamia kila kitu na usilalamike mwisho wa siku.Toa kwa moyo mmoja.

Halafu jamani msisahau pia kuwa hakuna mwanaume anamtaka mwanamke hivihivi tu.Na ndio maana kwa miaka ya sasa inakuwa ngumu kwa wadada kujitunza hadi wafikie kufunga ndoa bila kutoa chochote! Mbona hili nalo hamlioni?
 
Hodi hodi jamani wanajamii nipokeeni maana mie ni mgeni humu wa kuchangia ingawa ni msomaji sana hii site long time, Nadhani mmenipokea kwa mikono yote,
TUwe wakweli mapenzi bila hela au gari au chochote kama nyumba ni BIG NO, basi kama huna kabisa hata voucher!! dunia ilishapinduka long time wajameni, Money first!!

heheheh,..Nkashilingi..does that signify your name? laribu JF!
 
Tabia za utegemezi ziko kotekote kwa wanaume na wanawake.Kinachotofautiana ni dhana na hulka zilizomo kwenye jamii na vichwa vya watu.Nitatoa maoni yangu kuhusu kilichozungumzwa hapo juu na nikawekea rangi kama ifuatavyo.
1.Black - Hiyo ni dhana potofu.Wapo wanawake na wanawake.Kuna wenye kupenda utegemezi kama walivyo wanaume wenye kupenda dezodezo. Inategemea hao unaowajua wewe wenye hulka hiyo.
2.Red- Hilo ndio jibu.Kujipendekeza na kujifanya unakuja kumuokoa mtu ambaye wakati mwingine hana hata haja ya kuokolewa nawe.
3.Purple -Mwanaume mwenye mwelekeo huo mara nyingi ana mapungufu ambayo anajaribu kuyaficha kwa kujifanya anavyo vya kutoa kama msaada wa mama Theresa.
Kwa maisha ya sasa ni ujinga wewe mwanaume kujifanya unajua sana kuhonga.Mambo ni kupeana.Ila ukipenda mwanamke aliye dhaifu kwa kila hali kuanzia kufikiri hadi kujitafutia, basi uwe tayari kumgharamia kila kitu na usilalamike mwisho wa siku.Toa kwa moyo mmoja.

Halafu jamani msisahau pia kuwa hakuna mwanaume anamtaka mwanamke hivihivi tu.Na ndio maana kwa miaka ya sasa inakuwa ngumu kwa wadada kujitunza hadi wafikie kufunga ndoa bila kutoa chochote! Mbona hili nalo hamlioni?

Yaani WoS hapo umemaliza kila kitu. Mi binafsi siamini katika mapenzi ya kuegemea kwenye pesa tu! nadhani tulishajadili hii kitu hapa siku si nyingi zilizopita. Pesa, magari, nyumba na vyote vilivyomo humo ni viwezeshaji tu mapenzi ya kweli yapo moyoni mwa mtu! Mtu anayesisitiza sana mambo hayo 'ya kidunia' ni wa kuogopwa kama ukoma manake hakuna mapenzi ya ukweli hapo!

Bahati nilishapenda zamani na hakuna kupenda mara mbili lakini sidhani kama ningebadili msimamo eti kwa vile siku hizi 'mambo yamebadilika'?

Mkuu Mbu vipi au ndo swaumu imeshaanza?:cool:
 
huu ukweli ni ukweli kabisaa! Consciously wanasema wanapenda bila mali ila subconsciously ni kinyume. wanaume msidanganyike na kauli zao. dhahiri ni pale mwanamke anapokupita kipato. ishini nao kwa akili kama biblia inavyoagiza. mwanamke anakuforecast kwanza ndio akukubali au akuchune au akutumie kwa starehe nyingine. ONYO! si wote bali ni asilimia kubwa
 
women can spot a sucker,from a mile away.Billionaire Bernie Eccelstone,F1 supremo na ex wife wake ex model Slavica wapi na wapi!.women only want money as a compensation for not really fancying their man.ndio maana city boys rather then have these high maintenance headaches wanakuwa patrons wa hookers na lapdancing hotspots.
 
saa nyingine na ninyi mnapenda sana kuhonga.
Kuhonga inatumiwa kama nyenzo na wanaume wengi. Lakini pia kina dada wengi bwana bila ya kuwa na fedha hata kama anakupenda, ujue utahangaishwa sana. Ndo mambo yalivyo, bottom line utafanyaje
 
Tabia za utegemezi ziko kotekote kwa wanaume na wanawake.Kinachotofautiana ni dhana na hulka zilizomo kwenye jamii na vichwa vya watu.Nitatoa maoni yangu kuhusu kilichozungumzwa hapo juu na nikawekea rangi kama ifuatavyo.
1.Black - Hiyo ni dhana potofu.Wapo wanawake na wanawake.Kuna wenye kupenda utegemezi kama walivyo wanaume wenye kupenda dezodezo. Inategemea hao unaowajua wewe wenye hulka hiyo.
2.Red- Hilo ndio jibu.Kujipendekeza na kujifanya unakuja kumuokoa mtu ambaye wakati mwingine hana hata haja ya kuokolewa nawe.
3.Purple -Mwanaume mwenye mwelekeo huo mara nyingi ana mapungufu ambayo anajaribu kuyaficha kwa kujifanya anavyo vya kutoa kama msaada wa mama Theresa.
Kwa maisha ya sasa ni ujinga wewe mwanaume kujifanya unajua sana kuhonga.Mambo ni kupeana.Ila ukipenda mwanamke aliye dhaifu kwa kila hali kuanzia kufikiri hadi kujitafutia, basi uwe tayari kumgharamia kila kitu na usilalamike mwisho wa siku.Toa kwa moyo mmoja.

Halafu jamani msisahau pia kuwa hakuna mwanaume anamtaka mwanamke hivihivi tu.Na ndio maana kwa miaka ya sasa inakuwa ngumu kwa wadada kujitunza hadi wafikie kufunga ndoa bila kutoa chochote! Mbona hili nalo hamlioni?
Mi naona kama siku hizi wote tunahitajiana kabla ya ndoa. Siamini ni wanaume tu ndo wanapoanza uhusiano wanahitaji kupewa dozi. Hata kina dada nao ukiwa na relationship bila kumgusagusa anaweza akakufikiria vingine.
 
Back
Top Bottom