okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,631
Habarini,
Nina imani wote hapa tunajua kuwa moja ya sababu inayofanya baadhi ya hawa dada zetu wajiuze ni umaskini (ugumu wa maisha) ila nimesikia tetesi kuwa kuna wengine wanajiuza kwasababu hiyo ndo hobby yao.
Je, kuna ukweli wowote juu ya hili?
Nina imani wote hapa tunajua kuwa moja ya sababu inayofanya baadhi ya hawa dada zetu wajiuze ni umaskini (ugumu wa maisha) ila nimesikia tetesi kuwa kuna wengine wanajiuza kwasababu hiyo ndo hobby yao.
Je, kuna ukweli wowote juu ya hili?