Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
Nakumbuka bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara (ambayo ndio Wizara ya Kipaumbele kwa Mujibu wa Ilani ya CCM) ilikuwa shilingi bilioni 99 hivi kama sijasahau na juzi tu tumetoka kuzima Mwenge ambao inadaiwa kuwa Gharama ya kuuzungusha nchi nzima (bila kujali pesa hizo zilitoka wapi) ni shilingi zaid ya bilioni 200.
Takwimu hizi zimeniacha nikiwaza kama ni za kwel au ni ghiliba za wale vijana wanaolipwa ujira mdogo kumzuia mzee asitekeleze mipango ya maendeleo. Naomba mwenye taarifa sahihi atusaidie.
Takwimu hizi zimeniacha nikiwaza kama ni za kwel au ni ghiliba za wale vijana wanaolipwa ujira mdogo kumzuia mzee asitekeleze mipango ya maendeleo. Naomba mwenye taarifa sahihi atusaidie.