Hivi ni kweli kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu??

Lmasesa

Member
Nov 23, 2010
12
0
"KILIMO NI UTI WA MGONGO WA TAIFA LETU" Kauli hii nimekua nikiisikia toka naanza kupata akili! Viongozi wetu wamekuwa akiimba wimbo huu unaokifu kwa muda mrefu zaidi ya mno! Lakini cha ajabu hakuna kiongozi anaeonekana kuamini hilo. Kwa kuwa matendo yao hayafanani kabisa na wimbo huo. Hivi kweli raisi wetu JK anaamini kwa kumteua Mghembe kuwa Waziri wa Wizara ya Kilimo na umwagiliaji atakua amethibitisha ukweli kua "KILIMO NI UTI WA MGONGO WA TAIFA LETU" No..... the President is not serious about KILIMO! Ukizingatia KILIMO ndiyo shughuli kuu ya kiuchumi inayotoa ajira kwa 80% ya Watanzania... Kwa mtaji huu tutatoka kweli?...
 
"KILIMO NI UTI WA MGONGO WA TAIFA LETU" Kauli hii nimekua nikiisikia toka naanza kupata akili! Viongozi wetu wamekuwa akiimba wimbo huu unaokifu kwa muda mrefu zaidi ya mno! Lakini cha ajabu hakuna kiongozi anaeonekana kuamini hilo. Kwa kuwa matendo yao hayafanani kabisa na wimbo huo. Hivi kweli raisi wetu JK anaamini kwa kumteua Mghembe kuwa Waziri wa Wizara ya Kilimo na umwagiliaji atakua amethibitisha ukweli kua "KILIMO NI UTI WA MGONGO WA TAIFA LETU" No..... the President is not serious about KILIMO! Ukizingatia KILIMO ndiyo shughuli kuu ya kiuchumi inayotoa ajira kwa 80% ya Watanzania... Kwa mtaji huu tutatoka kweli?...

Kwa mtazamo wangu me nadhani tatizo kuu hapa ni Utekelezani yawezekana kabisa tuna wataalamu walisha fanya research nzuri tuu na mikakati madhubuti kuimalisha KILIMO ila mfumo upi sasa na serikali ipi itasimamia haya yote kwa ufasaaa bila dhuruma kwa wananchi?? Twahitaji serikali iliyo makini inayojitole kwa haya jamani kilimo cha miaka 10 tu kwa umakinifu najua unatutoa kabisa na tunajikomboa kiuchumi kabisa.

Tukiendekez kilimo cha sera za SI HA SA inakula kwetu Kilimo ni uwajibikaji, sera safi na mipango iliyo bora

 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom