Kuna habari kwamba sie watumiaji wasimu hizi za mobile huwa tunachangia CCM kwa kukatwa kiasi fulani cha pesa bila kujua.
Kwa mujibu wa vijihabari vilivyopatikana toka kwa watu wa makampuni wa simu zinasema kwamba makampuni hayo yalifuatwa na CCM na kuambiwa wachangie nao wakakutana na kuamua gharama hii kutupia wananchi wa kawaida.
Zaidi ni kwamba watu wa mtandao wanajua jinsi ya kujua kiasi gani umechangia katika hichi chama nyonya.
Tunaomba kwa wale wanaojua jinsi ya kuangalia kiasi tulichonyonywa watusaidie nasi tuweze kujua tulivyo kamuliwa.
Tusaidieni mnaoweza kufahamu unyonyaji huo
Kwa mujibu wa vijihabari vilivyopatikana toka kwa watu wa makampuni wa simu zinasema kwamba makampuni hayo yalifuatwa na CCM na kuambiwa wachangie nao wakakutana na kuamua gharama hii kutupia wananchi wa kawaida.
Zaidi ni kwamba watu wa mtandao wanajua jinsi ya kujua kiasi gani umechangia katika hichi chama nyonya.
Tunaomba kwa wale wanaojua jinsi ya kuangalia kiasi tulichonyonywa watusaidie nasi tuweze kujua tulivyo kamuliwa.
Tusaidieni mnaoweza kufahamu unyonyaji huo