lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,343
Mishahara kawaida tu ukilinganisha na sehemu kama NSSF, PSSSF, NHIF..
TRA hakuna safari kivileee ila wana hela unajua kwann?
Tafakari...
Na unajua kwann post nying hvo hujiulizi walikua wanafanyaje kazi kama kuna vacant zote hzo karibu buku..
Waliokua kwny hzo nafasi wa kwapi hujiulizi??
TRA hakuna safari kivileee ila wana hela unajua kwann?
Tafakari...
Na unajua kwann post nying hvo hujiulizi walikua wanafanyaje kazi kama kuna vacant zote hzo karibu buku..
Waliokua kwny hzo nafasi wa kwapi hujiulizi??