toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,628
Leo nilikua nafuatilia kipindi kimoja kwa tv kuhusu ugonjwa wa saratani na walikua wanajadili ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi kwa wanawake.
Katika huko ndo nikawaza na kuwazua ndugu yenu. Hivi ni kweli kabisa kwamba kansa na UKIMWI havina tiba au ni biashara za makampuni makubwa duniani?
Hii inawezekana vipi? Inaingia akilini kweli?
Inaingilia akilini kwamba saratani na virusi UKIMWI havina tiba?
Haingii akilini kwamba mimea yote duniani imekosa kutibu haya magonjwa.
Nini tunafichwa? Au ni makampuni makubwa ya nje yananufaika na haya magonjwa? Halafu, why HIV ipo zaidi Africa, tena Sub Sahara?
Hebu tuwaze na kuwazua leo wanajamii.
Katika huko ndo nikawaza na kuwazua ndugu yenu. Hivi ni kweli kabisa kwamba kansa na UKIMWI havina tiba au ni biashara za makampuni makubwa duniani?
Hii inawezekana vipi? Inaingia akilini kweli?
Inaingilia akilini kwamba saratani na virusi UKIMWI havina tiba?
Haingii akilini kwamba mimea yote duniani imekosa kutibu haya magonjwa.
Nini tunafichwa? Au ni makampuni makubwa ya nje yananufaika na haya magonjwa? Halafu, why HIV ipo zaidi Africa, tena Sub Sahara?
Hebu tuwaze na kuwazua leo wanajamii.