Hali zenu wanajamvi hasa great thinkers!!
Nawaomba mnisaidie kuwaza:
1. Je hizi shule zetu za vipaji maalum zinakuza vipaji gani?
2. Je ni njia gani zinatumika kukuza vipaji husika?
3. Je walimu wa hizi shule wana vipaji pia?
4. Hivi kuna "vipaji maalum" ambavyo hufundiswa/hukuzwa kwenye shule zetu za vipaji maalum kweli?
5. Je vigezo gani wanatumia kujua vipaji vya watoto kabla ya kuchaguliwa?
6. Je kujua KKK ni kuwa na kipaji?
7. Baada ya kumaliza hizi shule vipaji vyao huendelezwa wapi?
====
Kama hakuna hivyo vipaji maalum
(1) Kuna haja gani ya kuwa na shule chache ambazo zinapewa huduma bora kisha tukazipima sawa na shule zenye mazingira magumu?
(2) Je, inawezekana kwamba zilianzishwa kwa ajili ya watoto wa kinafulani tu? ila wanajifanya kupeleka wengine kuficha ukweli?
(3) Wale wanaopelekwa technical school huishia kwenye vyuo vya ufundi kama Dar tech, Mbeya tech nakadhalika, hawa wenye vipaji mwisho wao wapi? kama haupo why ziendelee kuwepo?
(4) Wizara husika inasera na dira gani kuhusu vipaji? kwao vipaji ni nini?
Nangu Mandokwa.
Nawaomba mnisaidie kuwaza:
1. Je hizi shule zetu za vipaji maalum zinakuza vipaji gani?
2. Je ni njia gani zinatumika kukuza vipaji husika?
3. Je walimu wa hizi shule wana vipaji pia?
4. Hivi kuna "vipaji maalum" ambavyo hufundiswa/hukuzwa kwenye shule zetu za vipaji maalum kweli?
5. Je vigezo gani wanatumia kujua vipaji vya watoto kabla ya kuchaguliwa?
6. Je kujua KKK ni kuwa na kipaji?
7. Baada ya kumaliza hizi shule vipaji vyao huendelezwa wapi?
====
Kama hakuna hivyo vipaji maalum
(1) Kuna haja gani ya kuwa na shule chache ambazo zinapewa huduma bora kisha tukazipima sawa na shule zenye mazingira magumu?
(2) Je, inawezekana kwamba zilianzishwa kwa ajili ya watoto wa kinafulani tu? ila wanajifanya kupeleka wengine kuficha ukweli?
(3) Wale wanaopelekwa technical school huishia kwenye vyuo vya ufundi kama Dar tech, Mbeya tech nakadhalika, hawa wenye vipaji mwisho wao wapi? kama haupo why ziendelee kuwepo?
(4) Wizara husika inasera na dira gani kuhusu vipaji? kwao vipaji ni nini?
Nangu Mandokwa.