mps
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 390
- 531
Ni hivi kuna binti nimekuwa nae kwenye uchumba kwa miaka miwili sasa yeye ni muislam na mimi mkristo, tumebahatika kupata mtt japo hatukuwahi kuishi pamoja kama mme na mke ila tulishakubaliana awali kwambani yeye atabadili dini na ndoa tutafunga kanisani na wazazi wake aliwaambia mama akakubali baba akawa anasitasita.
Cha ajabu kipindi akiwa mjamzito alitamkia kuwa hawezi olewa na mkristo nikajua anatania ila mpaka sasa kasimamia msimamo huo. Daa! kiukweli namhurumia mtoto wangu kukosa malezi ya baba na mama kwa sababu zisizoeleweka nimeamua kumpa go ahead na mtoto kalazimisha kumpa jina la kiislam.
Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na haya mambo
Cha ajabu kipindi akiwa mjamzito alitamkia kuwa hawezi olewa na mkristo nikajua anatania ila mpaka sasa kasimamia msimamo huo. Daa! kiukweli namhurumia mtoto wangu kukosa malezi ya baba na mama kwa sababu zisizoeleweka nimeamua kumpa go ahead na mtoto kalazimisha kumpa jina la kiislam.
Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na haya mambo