MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Hey guys, hivi ni wapi tunataka kilipeleka taifa hili? Ni kweli jamani imefikia mahali tunasema hadharanu kabisa kua hatuna haja ya kua na katiba mpya kipindi hiki ambacho kweli tunalia na mifumo mibovu inayozuia taifa letu kupiga hatua? Heo hii panga pangua ya viongozi kwenye mamlaka za serikali ni kwa sababu ya mifumo mibovu ya kikatiba bado tunasema katiba haihitajiki? Serious?
Kiongozi wetu anasama kua hatuna haja ya katiba mpya na kuna watu wanafurahi na kupiga makofi?Watanzani kuna mahali tunakosea sana, vyeo vyetu tunaviona kua na umuhimu zaidi kuliko mifumo itakayoweza kubadili taifa letu hasa kwa vizazi vijavyo.
Sioni uzalendo wa kiongozi yeyote katika taifa letu, kama tunashindwa kusimamia rasilimali zitakazotumika kwenye maandalizi ya katiba tunasingizia kua ni anasa, huu sio uzalendo hata kidogo. Hatuwezi kufika kwa hali hii hata malaika aje wa aina gani, yaani pesa za kodi ya wananchi kutimika kwenye katiba ni anasa?Tunashindwaje kizisimamia zisitumike kama anasa?Mungu atusaidie sana maana hatujui kama tunakosea.
Tuna katiba mbovu yenye mifumo ya kikoloni karne hii ya 21 ambayo tunataka tutoke hapa tulipo lakini tunasema hatuoni umuhimu wake? 2020 ikifika ndio tutajua kua kuna umuhimu wa hili, hakuna kiongozi atakayeweza kulizuia hili maana litakuja lenyewe automatically kulingana na matukio tutakayokumbana nayo.
CCM mmewadanganyia watanzania katiba mpya na leo mnarudi kusema hamuitaki hadharani ili muendelee kuwapoteza? Hakika mtalipa katika hili, tangulize uzalendo na tumieni fursa yenu kama chama tawala kulisaudia taifa.
Kiongozi wetu anasama kua hatuna haja ya katiba mpya na kuna watu wanafurahi na kupiga makofi?Watanzani kuna mahali tunakosea sana, vyeo vyetu tunaviona kua na umuhimu zaidi kuliko mifumo itakayoweza kubadili taifa letu hasa kwa vizazi vijavyo.
Sioni uzalendo wa kiongozi yeyote katika taifa letu, kama tunashindwa kusimamia rasilimali zitakazotumika kwenye maandalizi ya katiba tunasingizia kua ni anasa, huu sio uzalendo hata kidogo. Hatuwezi kufika kwa hali hii hata malaika aje wa aina gani, yaani pesa za kodi ya wananchi kutimika kwenye katiba ni anasa?Tunashindwaje kizisimamia zisitumike kama anasa?Mungu atusaidie sana maana hatujui kama tunakosea.
Tuna katiba mbovu yenye mifumo ya kikoloni karne hii ya 21 ambayo tunataka tutoke hapa tulipo lakini tunasema hatuoni umuhimu wake? 2020 ikifika ndio tutajua kua kuna umuhimu wa hili, hakuna kiongozi atakayeweza kulizuia hili maana litakuja lenyewe automatically kulingana na matukio tutakayokumbana nayo.
CCM mmewadanganyia watanzania katiba mpya na leo mnarudi kusema hamuitaki hadharani ili muendelee kuwapoteza? Hakika mtalipa katika hili, tangulize uzalendo na tumieni fursa yenu kama chama tawala kulisaudia taifa.