Hivi ni kweli hakuna msafi ndani ya CCM?

Figoo

Member
May 7, 2016
80
49
Ndugu zangu tusisahau tumefikishwa hapa na CCM. Tunalia ufisadi wakati CCM ndo inazalisha mafisadi na kuwakumbatia,tunalia rushwa wakati ni zao la CCM, tunalia rasilimali zetu kuporwa na wazungu wakati mshenga ni CCM.

Watanzania tumelogwa na nani? Kila uchafu anaolalamikia rais wetu anasahau kuwa ni zao la CCM! Inauma sana tunakuwa wasahaulifu na kumlaumu muumba wetu. Tubadilike Watanzania!!
 
mkuu,tumeambiwa safari hii tunae Kiongozi ambaye ni chaguo la Mungu sio chaguo la ccm japo cha ajabu tunaambiwa tena tumuombee kwa Mungu huyo huyo aliyemchagua! tusubiri,pengine tutafikishwa kwenye ile nchi ya ahadi.
 
Ndugu zangu tusisahau tumefikishwa hapa na CCM. Tunalia ufisadi wakati CCM ndo inazalisha mafisadi na kuwakumbatia,tunalia rushwa wakati ni zao la CCM, tunalia rasilimali zetu kuporwa na wazungu wakati mshenga ni CCM.

Watanzania tumelogwa na nani? Kila uchafu anaolalamikia rais wetu anasahau kuwa ni zao la CCM! Inauma sana tunakuwa wasahaulifu na kumlaumu muumba wetu. Tubadilike Watanzania!!
Wasafi wako wengi ndani ya CCM, kama vile Alhaj Jecha!
 
Ndugu zangu tusisahau tumefikishwa hapa na CCM. Tunalia ufisadi wakati CCM ndo inazalisha mafisadi na kuwakumbatia,tunalia rushwa wakati ni zao la CCM, tunalia rasilimali zetu kuporwa na wazungu wakati mshenga ni CCM.

Watanzania tumelogwa na nani? Kila uchafu anaolalamikia rais wetu anasahau kuwa ni zao la CCM! Inauma sana tunakuwa wasahaulifu na kumlaumu muumba wetu. Tubadilike Watanzania!!
Taja angalau msafi kwa 100% mmoja unayemfahamu.................
 
Nani mwenye kosa, anayegundua amezalisha mafisadi na kuyachinjia baharini au ananunuliwa na Fisadi aliyechinjiwa baharini?
 
mkuu,tumeambiwa safari hii tunae Kiongozi ambaye ni chaguo la Mungu sio chaguo la ccm japo cha ajabu tunaambiwa tena tumuombee kwa Mungu huyo huyo aliyemchagua! tusubiri,pengine tutafikishwa kwenye ile nchi ya ahadi.
Wakristo wanaamini yesu ni Mungu , bado alimuomba baba yake katika kukamilisha kazi yake duniani Magufuli yu nani mpaka asiombewe kwa Mungu? Tuzidi kumuombea tu, tutafika. Mafisadi yameshatimkia upande wa pili.
 
Ndugu zangu tusisahau tumefikishwa hapa na CCM. Tunalia ufisadi wakati CCM ndo inazalisha mafisadi na kuwakumbatia,tunalia rushwa wakati ni zao la CCM, tunalia rasilimali zetu kuporwa na wazungu wakati mshenga ni CCM.

Watanzania tumelogwa na nani? Kila uchafu anaolalamikia rais wetu anasahau kuwa ni zao la CCM! Inauma sana tunakuwa wasahaulifu na kumlaumu muumba wetu. Tubadilike Watanzania!!

Msafi alikuwa Lowassa peke yake
Mabadilikoo Lowassa
Lowassa mabadiliko
 
Mkuu CCM ni wasafi kama malaika issue za Escrow Epa , Lugumi n.k ni za Wapinzani
Mnatapatapa tu, hizo ni hoja mfilisi. Lowassa ndiye aliwajengea watu uwezo wa kuiba na wasichukuliwe hatua. Hizi zama za Dr. Magu mtasubiri sana, kwanza Rais anahakikisha anasambaratisha mtandao wa rushwa alioujenga Lowassa.
 
Msafi alikuwa Lowassa peke yake
Mabadilikoo Lowassa
Lowassa mabadiliko
Tehe tehe tehe tehe, kwa hiyo UKAWA walimchota msafi Lowassa kutoka kisima cha mafisadi? Maneno mengine ni ya kuonea aibu kabisa hata kuyatamka. Mkuu acha kuwa-enjoy UKAWA.
 
Umetapikaaa mpaka ...... Unamalizia kwa kusema Watz tubadilike, tubadilike mara ngapi? Walianza ccm kubadilika kwa kuyakata mafisadi. Wapinzani wakayapokea, Watz walipobaini hilo, wakastuka wakabadilika na kuamua kuichagua ccm. Wewe unataka mabadiliko gani tena? Hakuna Mtz anayemlaumu Muumba wetu bali kwa wingi wetu Watz tunamshukuru kwa ajili ya rais JPM. Kalagha bhaho.
 
Mkuu CCM ni wasafi kama malaika issue za Escrow Epa , Lugumi n.k ni za Wapinzani

upload_2016-7-8_12-9-30.jpeg
 
Wakristo wanaamini yesu ni Mungu , bado alimuomba baba yake katika kukamilisha kazi yake duniani Magufuli yu nani mpaka asiombewe kwa Mungu? Tuzidi kumuombea tu, tutafika. Mafisadi yameshatimkia upande wa pili.
mkuu, mbona huko upande wa pili hadi sasa hatujaona fisadi yeyote aliyeshitakiwa achilia mbali kukamatwa? au ni mafisadi wa kufikirika? au wana kinga ya nani?
 
Ni kweli mmebadilika lkn ni mabadiliko yapi, naona kila kukicha mabadiliko mnayofanya ni kutoka juu kwenda chini.
 
Ndugu zangu tusisahau tumefikishwa hapa na CCM. Tunalia ufisadi wakati CCM ndo inazalisha mafisadi na kuwakumbatia,tunalia rushwa wakati ni zao la CCM, tunalia rasilimali zetu kuporwa na wazungu wakati mshenga ni CCM.

Watanzania tumelogwa na nani? Kila uchafu anaolalamikia rais wetu anasahau kuwa ni zao la CCM! Inauma sana tunakuwa wasahaulifu na kumlaumu muumba wetu. Tubadilike Watanzania!!
Ccm hakiwezi kutoa mtu msafi
 
mkuu,tumeambiwa safari hii tunae Kiongozi ambaye ni chaguo la Mungu sio chaguo la ccm japo cha ajabu tunaambiwa tena tumuombee kwa Mungu huyo huyo aliyemchagua! tusubiri,pengine tutafikishwa kwenye ile nchi ya ahadi.
Tutafika wakati tuna manundu na michubuko mwili mzima
 
Back
Top Bottom